Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

Siwezi kueleza but uko na brain Kali, umetulia ni mtii hata kama unajua vitu unajua mwanaume alivo na anatakaje, basically speaking uko super for permanent association. Kwa uchache

[emoji817]% correct
 
Siwezi kueleza but uko na brain Kali, umetulia ni mtii hata kama unajua vitu unajua mwanaume alivo na anatakaje, basically speaking uko super for permanent association. Kwa uchache

[emoji817]% correct
Umenisusa siamini😪
 
Hayo yote amekusimulia kaka yako...!????

Kwamba wifi yako anasema kaka yako hajapata wa kumitia borlo...

Wakuu tukiacha chai,,, hii tuipe jina gani lingine?
[emoji16][emoji16][emoji16] alkasusu
 
DeepPond kuja kipande hiki Kaka yangu
Asante kuniita dada angu Yna2

Hapo Cha kumshauri,
Asicomplicate Sana na akachukulia "too serious" kwa kila kitu kinachotamkwa kwny mahusiano.

Maneno mengine huwa Ni chombeza time TU ili siku ziende,

Wanawake wengi wanapokua mbali hujiaminisha kwamba Lazima mtu wake achepuke.

Kitu ambacho sio sahii,
Kuna watu wanatulia kabisa huwez amini.
 
soma vizuri

hakumjibu ila aliduwaa


ndani ya kutokumjibu kuna mawili

alichepuka au
hakuchepuka.
Mtu kakaa miezi sita na nyeg* alafu unamuuliza maswali hayo kweli?

Baba O amefanyiwa ukatili.
 
Kama Baba O siyo kaka yako wa damu ujue anakuomba mzigo indirectly.
 
Back
Top Bottom