Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😪😄😄ajibujeWanawake huwa Ni wajanja sana wanaposaka ukweli wa Jambo lao, hapo Kaka ako anaongizwa kingi akubali alichepuka
Akijichanganya tu kukiri kukiri kosa la kuchepuka, hakuna rangi ataacha kuona kwenye ndoa yake[emoji4].
Hapo wifi yako anakuona wewe ndio mzembe, yaani kaka yako anakaa muda wote huo na njaa halafu wewe umeshindwa kumtafutia hata shosti yako mmoja wa kumtomber?mwenzio kaduwaa ata ivo he is my bro!
angepeleka kwa washkaji wenzie unataka wamuwahishie majukumu[emoji1]
Tunajua ni ngumu mwanaume kuvumilia zaidi ya wiki mbili, kaka yako kawezaje miezi 6? Lazima tuhoji
bosi unaijua kesi ya wapenzi? wakipatana unapoteza vyote hadi jina la ukoo😄Hapo wifi yako anakuona wewe ndio mzembe, yaani kaka yako anakaa muda wote huo na njaa halafu wewe umeshindwa kumtafutia hata shosti yako mmoja wa kumtomber?
Undugu ni kufaana sio kufanana.
Nilidhani amemindsoma vizuri
hakumjibu ila aliduwaa
ndani ya kutokumjibu kuna mawili
alichepuka au
hakuchepuka.
Huna lolote umekosa huruma tu kwa kaka yako, yaani miezi 6 kweli?bosi unaijua kesi ya wapenzi? wakipatana unapoteza vyote hadi jina la ukoo[emoji1]
hapanaNilidhani amemind
mkuu makofi hayo utazeeka nayo huku huna mke.Kuna mada ambazo serious zinaaibisha mwanaume kuzileta kuna mambo mengine unatakiwa uone angalau hata aibu mwanaume uyamalize mwenyewe kama yule anayelalamika mke wake hamjali kwenye msiba ukweni
Halafu hao wanawake wa kuwajibu shit mnatoa wapi ningekuwa mimi bonge moja la tusi au bao lingemshukia
mfumo dume unasaidia sana
Mmh kaenda mbali sana. Ni wivu tu wa mke sidhani kama kuna zaidihapana
ila ana maswali mengi kichwani ndani ya swali moja aliloulizwa.
huenda alijiongezea miezi mingine kwao kumbe alichepuka akiwa kwao?
anahalalisha uchepukaji ili nikimkamata aone kitu cha kawaida?
anahisi kaolewa na malaya?
akampime afya kabla ya tendo?
au bado anahasirahasira zake za mimba?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mi mashosti zake dada mpaka walikua wanadundana wenyewe kwa wenyewe.ni kaka siwezi kumtaftia machinjio