Mke wa Kaka: Hujapata mwanamke wa kuwa naye?

Mwambie bado hajawajua wanawake.

Anasusa Susa Kama boys.
Anashindwa kujieleza, kumsifia mke wake mpaka alale Kama Paka shine.

Pumbavu
 
Mwambie bado hajawajua wanawake.

Anasusa Susa Kama boys.
Anashindwa kujieleza, kumsifia mke wake mpaka alale Kama Paka shine.

Pumbavu
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ jf mna majibu sugu,,


haya nimeshamfikishia majibu yenu kama hivoo.

nimemwambia kwani ye hajachepuka

anasema alichepuka ila mke ni mke

nikamwambia ulimpa jibu gani kati ya niliyokwambia๏ผŸ
alimwambia kimasihara kama alivomuuliza,,,

โ€œulinipa msaidizi wako huyo?โ€ (baba O alisema)

mama O alipanic sana ndio ukawa mwisho wa swali. ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
 


๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Nina wasiwasi wewe utakuwa mchepuko wa Baba O..wanaume wenzangu watanielewa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ