Mke wa Makonda ni Raia wa nchi gani?

Mke wa Makonda ni Raia wa nchi gani?

Nasikia uwezo wa kuzaa hana ndiyo maana hata huyo mwana aliyenaye alimpata kwa msaada wa wachina
Acha maneno ya uongo! Lete udhibitisho mnapenda sana umbea usio na kichwa wala miguu! Unasikia kwa nani? Stori za vijiweni unaleta huku jamii forum!
Mtu kama ana watoto na wewe ulivyo poyoyo unaanza kuamni maneno ya watu weneye chuki na Makonda na wasio mtakia mema!
 
Mke wa Makonda wala sio Mmeru sema familia yao imekaa sana Arusha! Ni mtu wa Ngara huko Kagera!
Wazazi wake walikuwa wafanya kazi wa serkaili huko Arusha!
Mama Tuishime mama mstaarabu, mpole, mwenye hekima na Tena ni mwombaji... Wahangaza hawa
 
Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Ukimuona, hana tofauti na Binti wa Kagame, Mrefu, pua nyembamba!
Sasa, hv mabinti zetu,wapo kila sekta,kwa ufupi, walianza kuingia kitambo Sana, kipindi kile 1994 wakati wa mauaji kule Rwanda, waliingia wakimbizi wengi kagera, wanaume wengi, wakavutiwakitusi, wanawake wa kitusi, wakajichukulia wakaoa,
Wanawake wa kitusi waliolewa wengi Sana.
Na mshua,kipindi hicho ni mjeda kijana wa kambi ya kaboya, akakutana na bi mkubwa, mama, alipokuwa mjamzito, akampeleka kwa Bibi, mpaka alipojifungua, sasa leo nipo Kwenye nafasi nzuuuuri, Nina wajomba kibao Rwanda!
Bongo mmeisha, damu ya wahima IPO kila Kona,
 
Mke wa Makonda wala sio Mmeru sema familia yao imekaa sana Arusha! Ni mtu wa Ngara huko Kagera!
Wazazi wake walikuwa wafanya kazi wa serkaili huko Arusha!
Kwa taarifa yako wakwe zake makonda ndio wannamiliki shule ya tuishime
 
Back
Top Bottom