Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nasikia uwezo wa kuzaa hana ndiyo maana hata huyo mwana aliyenaye alimpata kwa msaada wa wachinaHe! kumbe ht Bashite aweza kuwa na mke!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia uwezo wa kuzaa hana ndiyo maana hata huyo mwana aliyenaye alimpata kwa msaada wa wachinaHe! kumbe ht Bashite aweza kuwa na mke!!
Hata Burundi kuna Watusi piaKangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Mke wa Makonda wala sio Mmeru sema familia yao imekaa sana Arusha! Ni mtu wa Ngara huko Kagera!Watu wana roho mbaya sana aisee🤣
Acha maneno ya uongo! Lete udhibitisho mnapenda sana umbea usio na kichwa wala miguu! Unasikia kwa nani? Stori za vijiweni unaleta huku jamii forum!Nasikia uwezo wa kuzaa hana ndiyo maana hata huyo mwana aliyenaye alimpata kwa msaada wa wachina
Mbona povu jingi sana au we ndio makonda nini?Acha maneno ya uongo! Lete udhibitisho mnapenda sana umbea usio na kichwa wala miguu! Unasikia kwa nani? Stori za vijiweni unaleta huku jamii forum!
Mtu kama ana watoto na wewe ulivyo poyoyo unaanza kuamni maneno ya watu weneye chuki na Makonda na wasio mtakia mema!
Hata kama ni Makonda ila huo ndo ukweli wenyewe! Mnapenda umbea na kujiona nyinyi ndo watu wa maana katika jamii! Unateseka ukiwa wapi? Na kwambia tu bado hujasema!Mbona povu jingi sana au we ndio makonda nini?
Mama Tuishime mama mstaarabu, mpole, mwenye hekima na Tena ni mwombaji... Wahangaza hawaMke wa Makonda wala sio Mmeru sema familia yao imekaa sana Arusha! Ni mtu wa Ngara huko Kagera!
Wazazi wake walikuwa wafanya kazi wa serkaili huko Arusha!
Sio mmeru ni mhangaza kutoka ngara. Familia inampenda MunguNyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
wahangaza wote sio watanzania wanatokq nchi jiraniMama Tuishime mama mstaarabu, mpole, mwenye hekima na Tena ni mwombaji... Wahangaza hawa
Kwahiyo Mgogo?Binti wa Prof Kabudi
NdioKwahiyo Mgogo?
Ukimuona, hana tofauti na Binti wa Kagame, Mrefu, pua nyembamba!Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Kwa taarifa yako wakwe zake makonda ndio wannamiliki shule ya tuishimeMke wa Makonda wala sio Mmeru sema familia yao imekaa sana Arusha! Ni mtu wa Ngara huko Kagera!
Wazazi wake walikuwa wafanya kazi wa serkaili huko Arusha!
Ndio
Prof Kabudi Kwao ni ManyoniKilosa wanatoka wagogo?