Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tulitawaliwa na Mzilankende Tanzania akaanza kubagua wenzake kuwa sio Watanzania naomba elimuMhutu mtusi au batwa ni utambulisho tu wa mlolongo wa koo zao, lakini lugha wanayoongea ni Kirundi au Kinyarwanda. Kwa Waha hivyo hivyo lugha yao ni kiha lakini wana tambulisho za koo zao lukuki, mifano mhinda,mgisho, mzilankende.....n.k.
Makabila hayo hayako Tanzania kama tumepakana nao??!!)The Hutu (/ˈhuːtuː/), also known as the Abahutu, are a Bantu ethnic or social group which is native to the African Great Lakes region. They mainly live in Rwanda, Burundi and the eastern Democratic Republic of the Congo, where they form one of the principal ethnic groups alongside the Tutsi and the Great Lakes Twa.
Hutu
Abahutu
Nchi zote Rwanda na Burundi zina watusi, wahutu na watwa.Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Na watwa....Nchi ya Urundi na Rwanda Ina makabila yafuatayo Hal, Tutsi and Hutu
Mtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Kama ni mmeru aende immigration akajaze fomu za kuthibitisha five generations of her ancestry like every body whom they abusedYani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
NYau nyinyi
Tanzania kuna makabila yote yanayopakana na mjirani zake kwa nini Makonda alianza kibagua watu na kuwaita sio Watanzania kama alijua hayo??Umekosea, unachanganya taifa na kabila. Nchi hizo zote zina makabila yote.
Tutatawaliwa na mtu yeyote tu kama atafanikiwa kupata kura za kutosha kushika kiti. Mzilankende ni mtu anayetoka katika ukoo unaomtambua mnyama jamii ya nyani au tumbili kuwa alama yao ya ukoo.... Kama Tanganyika ilivyofahamika kwa mnyama twiga.Kwa hiyo tulitawaliwa na Mzilankende Tanzania akaanza kubagua wenzake kuwa sio Watanzania naomba elimu
Umefafanua vizuri sana,hakuna lugha ya kitutsi wala kihutu.Burundi na Rwanda kote kuna wahutu na watutsi tena watutsi ni wengi zaidi Burundi kuliko wale wa Rwanda,watutsi wa Burundi wanakaribiana namba na wahutu wa Burundi wakati Rwanda namba yao ni ndogo zaidi kulinganisha na wahutu,watu wengi wanachanganya wanajua Tutsi na Hutu ni makabila wakati sio makabila ni ethnic group tu,makabila ni Wanyarwanda,Wanyankole,na Warundi na hakuna lugha ya kihutu na kitutsi Rwanda hawa wote wanaongea kinyarwanda na lugha nyingine za makabila madogo,humu jf kuna kajamaa kanaitwa GENTAMYCINE kanadanganya watu ni Mtutsi halafu eti anasema anaongea lugha ya kitutsi kanajifanya ni kanyarwanda na huku hajui kwamba hakuna lugha unaitwa kitutsi pale Rwanda
Nenda wewe na bibi yako wakamboKama ni mmeru aende immigration akajaze fomu za kuthibitisha five generations of her ancestry like every body whom they abused
Tanzania kuna makabila yote yanayopakana na mjirani zake kwa nini Makonda alianza kibagua watu na kuwaita sio Watanzania kama alijua hayo??
Wewe Makonda mwenyewe nilikuwa nakutafuta sana sana nimekupa will rent a space in your head until infinitumNenda wewe na bibi yako wakambo
Hapa tunazungumzia Taifa la kitanzania lilivyo angamia wakati wa ufalme wa Makonda.Hata sijui, pia sijali ameoa nani na wapi. Niliongelea makabila na mataifa.
Twa,,siyo ha!Nchi ya Urundi na Rwanda Ina makabila yafuatayo Hal, Tutsi and Hutu
Kuna watwa, wahitu na watusi. Na kuna Burundi na kuna Rwanda na Tanzania kuna Waha, wahangaza, wanyamboKangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
*ni Rwanda sio RuandaMtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Yeye anajitambulisha km mchaga.Yani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
NYau nyinyi
Mke wa rais wa Ujerumani ni mtanzania wa Arusha Sombetini.Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]......Kaa kimya wewe Madevuu
Komoni Chimpumu?