Help the idiots who thinks Ruanda is LuandaRuanda = Rwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Help the idiots who thinks Ruanda is LuandaRuanda = Rwanda.
Hapana.Umetumwa na Makonda??
Great mind discuses ideasNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Hapo ndio umeandika nini we nyau?!Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Rwanda na Burundi Zina watu wa makabila matatu ambayo ni Waahutu, Watutsi na Watwa. Kwa hiyo Kuna Watutsi waishio Rwanda na Kuna Watutsi waishio Burundi vivyo hivyo kwa Wahutu na Watwa.Mtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Nyau atakuwa wewe wa bar anaezaa na kila mtuHapo ndio umeandika nini we nyau?!
Hata wewe kwa uandish huu,sio mtanzania!Mtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Kwa nini Kabendera, Kakobe na Eyakuze walipekuliwa uraia wao enzi za Jiwe??
Sasa nchi jirani kwa wakwe zake alikotimkia ni wapi? maana ni kweli kakimbiaYani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
NYau nyinyi
Swala la makonda haliwezi kuwa personal kwa sababu matendo yake haramu aliyafanya hadharani.Wewe inakusaidia nini???
Jadili vitu vitakavyoongeza kipato kwa familia yako.
Acha “personal za mtu”
Umefikiria nini kusema hivyo?Muda si mrefu tutaanza kuimport wanaume tokea nchi jirani sio kwa vilaza hivi vilivyomo nchi hii, ni takataka,
Kangame?Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Utapata shida sana kuwaelekeza kama vipi waacheKangame?
Mrundi na mtusi?unamaanisha Nini?
Burundi Kuna wahutu na watutsi
Na Rwanda Kuna wahutu na watutsi.
Mimi MtusiHata wewe kwa uandish huu,sio mtanzania!
mhhh mrundi na mtusi!kwani mm najua hakuna mrundi bali kuna nchi ya burundi ambayo raia wake ni watusi,wahutu na watwa the same to rwanda.Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Haaah mkuu watu wananitongoza wanadhani mi kijana kumbe mzee nimeona tu nitoe!binti kiziwi Mbona umebadilisha avatar picha Yako tuliyokuzoea 🥺
Huyo mke alikuwa anafanyakazi Ifakara Health Institute pale mikocheni kabla Makonda hajawa Bashite wa Kinondoni kisha Dar.Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu