Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binti kiziwi Mbona umebadilisha avatar picha Yako tuliyokuzoea 🥺MKE WA MAKONDA NI MMERU. Kama hujui kitu kaa KIMYA.
Sauh'waaah
Mke wake ni asili ya Rwanda, mtusi, hata Makonda amemjengea mama mkwe wake nyumba huko ngaraNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Mke wa Makonda Miriam ni Muhangaza Kazaliwa na kukulia Arusha! Mama yake ni mwalimu Masenge Amekuwa mwalimu mkuu wa shule za Sanawari na Kijenge na baba yake ni Dr. Masenge dentist maarufu tu hapa Arusha
Nyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
Wapo watanzania wameoa wachina, warusi, wamongolia, wapakistani
Mbona sio shida
RwandaNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Wewe Mzee unazeeka vibaya ujue shauri yako.Binti wa Prof Kabudi
Unataka kuwa mke mwenza?Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Utakuwa chizi.Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Ustaarabu wake hausaidii kama mume alikuwa fedhuli au jambazi![]()
mstaarabu sana huyu Dada Maria a,ka Mama Keagan kwa kweli Mungu ampe afya zaidi na zaidi na hata RC DSM mstaafu
Chizi ni wewe na waliokuwa wanakataa wamasai kuwa Watanzania na wakamba na makabila mengi ya mipakaniUtakuwa chizi.
Mrundi ni RAIA wa Burundi kisheria.
Mtusi ni kabila linalopatikana Burundi,Rwanda na sehemu za Congo.
Haaaahah.....ebu ncheke. Usijali mkuu sijakuelewa.Chizi ni wewe na waliokuwa wanakataa wamasai kuwa Watanzania na wakamba na makabila mengi ya mipakani
Wampeleke immigration akajaze fomu za vizazi vyake na mababu zake kama mme wake alivyokuwa anfanyia watu anaotaka kuwadhulumu mali zao huo ushenzi ulifanyika sasa Kigamboni na wakuu wa wilaya wakitumiwa na MakondaNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Umetumwa na Makonda??Haaaahah.....ebu ncheke. Usijali mkuu sijakuelewa.
You mean Luanda??!Ndg Ruanda ni mji mkuu wa Angola,Rwanda ndo nchi