Acha ujinga tumia akili uliza swali kama unataka kujielimishaWewe uliambiwa Kama nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga tumia akili uliza swali kama unataka kujielimishaWewe uliambiwa Kama nani?
Makonda ndio alianza hadithi za uraia kudhulumu mali za watu ukabila umeanza wakati wa Magufuli ndio maajabu hayo???nchii ya ajabu sana.akiingia msomali,mganda,mkenya,mwarabu,mchina,mzungu hata siku moja muwezi jadili ila kwa nini mnawazungumzia warwanda na burundi kuhusu kuishi hapa tz
Dah bro unaleta uzi kama huu kumjadili shemeji yako...??? are you serious...?Nimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Lukuvi aliuliza mbele yangu huyu Mzungu anamiliki vipi ardhi ya Tanzania kitu ambacho kitu ambacho kilitushangaza sana hatukujua Tanzania ni nchi ya ubaguzi wa rangi. Walivyomalizana na Wazungu ndio wakaanza na makabila mengine ikawa kama hufanani nao au hufikiri kama wao wewe sio mzawa au Mzalendo hayo ndio maajabu ya Tanzania.Makonda ndio alianza hadithi za uraia kudhulumu mali za watu ukabila umeanza wakati wa Magufuli ndio maajabu hayo???
Shoga wewe Mjane wa lile shetani lenu la Chattle.Yes.. Kaachana na nyie magasho sasa ana mke
Hapana , Burundi na Rwanda kwa asilimia zaidi ya 85% ni wahutu . Watsi ni kidogo xanaNchi ya Urundi na Rwanda Ina makabila yafuatayo Hal, Tutsi and Hutu
Acha kuposha kama hujui nyamazaWatutsi wakiongozwa na Kagame mwenyewe sio Wahutu, Wahutu wapo Congo kwenye M23 walikimbilia uko baada ya vita
Wewe unajua nini? Una kingine?Acha kuposha kama hujui nyamaza
Ndg Ruanda ni mji mkuu wa Angola,Rwanda ndo nchiMtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Zaidi %85 ya Burundi na Rwanda ni wahutu.Wewe unajua nini?
Bac kama hujafika Rwanda, ingia google bacWewe unajua nini? Una kingine?View attachment 2507382
Wahutu wamekimbilia Congo na Burundi, watutsi wamebaki RwandaZaidi %85 ya Burundi na Rwanda ni wahutu.
NDIOMakonda kahama nchi? Kumbe pale Goldcrest Hotel Jijini Mwanza nilipomuona juzi ni nje ya nchi?
Basi sawa.NDIO
Hizi hadith mlisumuliwa na bibi yenu usiku kijijini mkiota moto nje huku mmeuzunguka kabla ya kulala?Wahutu wamekimbilia Congo na Burundi, watutsi wamebaki Rwanda
Wewe unazungumzia kabla ya vita, kasome vizuri historia na hali ya sasa, wahutu wakisogeza pua zao PK anawafyeka, kuna yule mwanasiasa wa kihutu alikua anamsaka kwa udi na uvumba hadi akamnasa, hujui?
RPF iliporudi Wahutu walikimbia wenyewe PK akachukua nchi, wengi walikimbilia Congo North Kivu na wengine walikimbilia Uganda na wengine walikimbilia Burundi
Ndio hivyo mkuu, Sungura mjanja biashara inayolipa sana huko China,Hizi hadith mlisumuliwa na bibi yenu mkiota moto nje huku mmeuzunguka kabla ya kulala?
Shut tha' fakap!Ndio hivyo mkuu, Sungura mjanja biashara inayolipa sana huko China,
Supu ya pweza inalipaShut tha' fakap!
Nyauww