johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Binti wa Prof Kabudi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ilikaribisha wakimbizi wa kila aina na walitoka kwenye nchi zao wakiwa na roho mbaya sana kwa hiyo itabidi kuhakikisha ni nani mkimbizi na nani mzawa lakini kama mkimbizi anakuwa na roho nzuri ya kitanzania hakuna haja ya kutomkaribisha enzi ya mwendazake walianzisha ubaguzi kitu ambacho hakijawahi tokea TanzaniaYani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
NYau nyinyi
Kutoka BurundiBinti wa Prof Kabudi
Endelea kukaririKutoka Burundi
Wewe ndo hujui. Asilimia 70+ ya wakazi wa Rwanda ni wahutu. Wote wanaitwa wanyarwanda.Kangame ni wanyaruanda unajua tofauti ya Mrundi na Mtusi wewe??
Wa BurundiEndelea kukariri
Kama yeye Mmeru mbona Mimi waliniambia Mkenya wakati mme wake akiwa mkuu wa MkoaYani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
NYau nyinyi
Watutsi wakiongozwa na Kagame mwenyewe sio Wahutu, Wahutu wapo Congo kwenye M23 walikimbilia uko baada ya vitaAsilimia 70+ ya wakazi wa Rwanda ni wahutu.
Wa BurundiKama yeye Mmeru mbona Mimi waliniambia Mkenya wakati mme wake akiwa mkuu wa Mkoa
Weeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
Wa BurundiWeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeru awe vile hahaha
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wakanipeleka immigration siku tatu wananihoji huo ushenzi waliupata wapi kuamua kama mtu ana sura ya kisomali au kikamba au kimasai au kimbugu na kadhalika mradi huna sura ya kibantu unafukuzwa Tanzania huo ushenzi aliidhinisha nani mme wake atujibuKama yeye Mmeru mbona Mimi waliniambia Mkenya wakati mme wake akiwa mkuu wa Mkoa
Mungure punguza hasira chalii angu 😄😄Nyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
Wewe uliambiwa Kama nani?Kama yeye Mmeru mbona Mimi waliniambia Mkenya wakati mme wake akiwa mkuu wa Mkoa
Yes.. Kaachana na nyie magasho sasa ana mke
ArgrrrrrrrrWeeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeru awe vile hahaha
Kwa kuwa wazazi wa mwanamke wanaishi njiro au?
Yule mamamkwe mwalimu ni mnyarwanda
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wa kutoka BurundiWewe uliambiwa Kama nani?
Shoga ni yeye alishafumuliwa marinda na awamu ya4 na mzee siksi. UNABISHA?Yes.. Kaachana na nyie magasho sasa ana mke