Mke wa Makonda ni Raia wa nchi gani?

Mke wa Makonda ni Raia wa nchi gani?

Yani Chochote kinachotoka mdomoni mnabwabwaja tu. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.

NYau nyinyi
Tanzania ilikaribisha wakimbizi wa kila aina na walitoka kwenye nchi zao wakiwa na roho mbaya sana kwa hiyo itabidi kuhakikisha ni nani mkimbizi na nani mzawa lakini kama mkimbizi anakuwa na roho nzuri ya kitanzania hakuna haja ya kutomkaribisha enzi ya mwendazake walianzisha ubaguzi kitu ambacho hakijawahi tokea Tanzania
 
Kama yeye Mmeru mbona Mimi waliniambia Mkenya wakati mme wake akiwa mkuu wa Mkoa
Wakanipeleka immigration siku tatu wananihoji huo ushenzi waliupata wapi kuamua kama mtu ana sura ya kisomali au kikamba au kimasai au kimbugu na kadhalika mradi huna sura ya kibantu unafukuzwa Tanzania huo ushenzi aliidhinisha nani mme wake atujibu
 
Back
Top Bottom