Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Si hata yule Mrundi wa Chato alikuwa akijifanya Mtanzania?MKE WA MAKONDA NI MMERU. Kama hujui kitu kaa KIMYA.
Sauh'waaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si hata yule Mrundi wa Chato alikuwa akijifanya Mtanzania?MKE WA MAKONDA NI MMERU. Kama hujui kitu kaa KIMYA.
Sauh'waaah
Ruanda = Rwanda.Mtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Asee hiyo avatar picha yako ulivyokunja uso utadhani umekalia mkuyenge.Supu ya pweza inalipa
Nguru we we
Unanitafutia kubigwa ban kilazima au sio?Asee hiyo avatar picha yako ulivyokunja uso utadhani umekalia mkuyenge.
Kammoon
😂🤣😆😆🙌🏿🙌🏿🙌🏿👌🏿👆🏿👆🏿😬😬
Ndio ndio NDIO mtu wangu ndiooo. Umekalia kitu kigumu chenye ncha butu kilichonyooka.Unanitafutia kubigwa ban kilazima au sio?
Kwa hio umeona unitukane tu maana huna cha kuniambiaNdio ndio NDIO mtu wangu ndiooo. Umekalia kitu kigumu chenye ncha butu kilichonyooka.
Nyau ambivert kammoon
Bring it on meeen i love this game. Yani unavyonitukana ndo furaha yangu. Hapa nilipo narukaruka kwa furahaa.Kwa hio umeona unitukane tu maana huna cha kuniambia
Madevuu hilo Domo watu wanakupigisha mswaki kwa blow job au sio?
Madevuu unalamba miwa na hilo domo?Bring it on meeen i love this game. Yani unavyonitukana ndo furaha yangu. Hapa nilipo narukaruka kwa furahaa.
Nyau ambivert nakuita kwa sautii nyauuuuuu ambiiiiivert.
Sikuachi mimi na wewe leo nimeshakuingiza kimiani.
BRING IT ON MAAMAE
Sasa na wewe huku unatafuta nini?Wewe inakusaidia nini???
Jadili vitu vitakavyoongeza kipato kwa familia yako.
Acha “personal za mtu”
Wataseme ndio ni Mmeru ila wa 🇰🇪Nyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
Ni Mrundi nimefika hadi kwao kule Ngara ambapo babu yao alikuwa mchungaji anaitwa BuninangeNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Hakuna nchi inaitwa Ruanda , bali ni RwandaMtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
RwandaNimekuta sehemu mjadala ukizungumzia Makonda kuhamia Kwa wakwe zake nchi jirani nikataka kujua mke wake ni Raia WA nchi gani? Mwenye taarifa atusaidie may be amekimbia kumkwepa Lisu
Kwa taarifa yako kuna Watutsi wa Rwanda na Burundi.Mtusi aanatoka kwenye nchi inaitwa Ruanda na Mrundi anatoka kwenye nchi inaitwa Burundi kama nimekosea naomba msaada wa elimu
Unawajua Wameru toka eneo la Sura?Weeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeru awe vile hahaha
Kwa kuwa wazazi wa mwanamke wanaishi njiro au?
Yule mamamkwe mwalimu ni mnyarwanda
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Baeleze haoNyie ni watu wa ajabu sana. MKE WA MAKONDA NI MMERU PURE MMERU.
Daudi Mchambuzi Chaliifrancisco wa kupuliza Arushaone
johnthebaptist soma huu ushahidi kutoka site, wewe upo Tanangozi mambo Haya utayajua wapi?Weeeeeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmeru awe vile hahaha
Kwa kuwa wazazi wa mwanamke wanaishi njiro au?
Yule mamamkwe mwalimu ni mnyarwanda
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app