Mke wa Mpangaji mwezangu anasema baba Umut unaringa sana

Mke wa Mpangaji mwezangu anasema baba Umut unaringa sana

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Katika harakati zangu za hapa na pale za kusaka elimu, kuna mpangaji mmoja ni mke wa mtu kabisa leo kaamua kufunguka eti mimi naringa sana na mke wangu (mama umut) ni wakaida na mimi skutaka kumlazia damu kwasababu hapo awali sikua na mazoea na mpangaji yeye hapa nilipopanga zaidi ya salamu tu basi nakamuuliza kwanini unamsema hizo mke wangu na mimi mwenyewe kama naringa kwa nimekufanyia nini kibaya au mke wangu kakafanyaje shemeji?

Jibu lake eti kwani unionagi mbona unanizarau sana. Nami nikamjibu nakuzarau kivipi yani mbona sielewi? Akasema yani wewe kila sku unasema mambo tu umemaliza utaki kunijulia hata hali tupige stori mbili tatu!

Nikasema hapana shemeji wewe mke wa mtu nam sipendag matatizo na wake za watu nae akajibu hapana bwana shemu tuwe tu marafiki nikasema sawa basi kipindi naondoka akasema shemeji chukua namba zangu basi nikachukua nikasepa.

Picha linaanza muda huu nacheki tamthilia ya unfaithful AZAM TV huku nikiwa nmefungulia sauti ya juu kwenye subwoofer kanitumia meseji eti shemeji natamani kuja kuangalia namimi sema mama umut tu ndo kikwazo.

Nam nikamjibu njoo kesho saa 3 mama Umut akienda kusuka yeboyebo kwa dadaake kasema sawa.

Ushauri: Je, huyu anataka nn kwangu, na je nmchakate au nimkaushie tu asije nipa gono?

1683656118555.png
 
Katika harakat zangu za hapa na pale za kusaka elimu, kuna mpangaji mmoja ni mke wa mtu kabsa leo kaamua kufunguka eti mm naringa sana na mke wangu ( mama umut) ni wakaida namm skutaka kumlazia damu kwasababu hapo awali skua na mazoea na mpangaji yeye hapa nilipopanga zaid ya salamu tu basi nakamuuliza kwann unamsema hizo mke wangu na mm mwenyew kama naringa kwa nimekufanyia nn kibaya au mke wangu kakafanyaje shemeji?;Jbu Lake et kwani unionagi mbona unanizarau sana! Nam nikamjibu nakuzarau kivp yani mbona sielew! Akasema yani ww kila sku unasema mambo tu umemaliza utaki kunijulia hata hali tupige stor mbil tatu! Nikasema hapana shemej ww mke wa mtu nam spendag matatzo na wake za watu nae akajibu hapana bwana shemu tuwe tu marafiki nikasema sawa basi kipnd naondoka akasema shemej chukua namba zangu basi nikachukua nkasepa.

Pcha linaanza muda huu nachek tamthilia ya unfaithful azamtv uku nikiwa nmefungulia saut ya juu kwenye subwoofer kanitumia mesej eti shemej natamani kuja kuangalia namm sema mama umut tu ndo kikwazo.

Nam nikamjibu njoo kesho saa 3 mama umut akienda kusuka yeboyebo kwa dadaake kasema sawa.

ushauri: je huyu anataka nn kwangu, na je nmchakate au nimkaushie tu asje nipa gono
View attachment 2615981
Dogo ili kupunguza michubuko nunua kikopo cha Vaseline uwe unatembea nacho. Nunua kikubwa. Itakusadia zaidi. Utakuja nishukuru maana. Nakusisitizia usiache kutembea na kikopo cha Vaseline.
 
Back
Top Bottom