Ironbutterfly
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 3,042
- 8,227
Hakiniumi kitu mkuu,nimependa tu slogan yako🙏🤣pambana Sasa usijeambulia gentomen🤣
Kwani inakuuma nini nkisema hvo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani inakuuma nini nkisema hvo
Sasa mm ndo nmekuelewa mm huyu stapga mishe nitamkataaUSije sema sikukwambia. Mi nimekushauri tu ni bora utembee nacho mate hayatosaidia kitu. Na wale jamaa unakuta hata mate hawana. Watatoa wapi wakati wana njaa,
Hakiniumi kitu mkuu,nimependa tu slogan yako🙏🤣pambana Sasa usijeambulia gentomen🤣
Sijawahi kucheka mbele za watu hivi leo imenikutaHalafu katika yote anasema ni ktk harakat zake za kupata elimu🤣🤣🤣hiko chuo kimepata mwanafunzi🤔🏂🏄🏌️
Tuwaache wavulana wetu wafurahishe genge mamaAsubuhi umetumiwa kimakosa 76,500 ukaleta Uzi,
Jioni mpangaji mwenzio kasema, fyooo🗣️
Kazi kwelikweli
Kamari za kimasikini schezi naendaga meridian kucheza namba moja kila mwezi kwa laki nikila naondoka na 360k nakila napangusa matako nasepa1Uyu dogo atafika mbali sana. Kweli amekuja mjini kutafuta elimu. Namshauri aanze na kupitia na kona za dubu la mchina
Genge mama ndo nnTuwaache wavulana wetu wafurahishe genge mama
Mm swez honga mke wa mtu sababu ya kwanza sjamtaka na yy ndo kataka kuchakatwa kwann nimlipe? Pili ni ujinga wa kiwango cha lami kuhonga mwanamke ambaye analala mwanaume mwngne usku na unajua hloDogo,unaweza kulipa bill akitaka kukupiga mzinga? huko chuoni unalipa au unalipiwa? haya mambo waachie wenye salary na sio wewe mwenye boom
Swez tomb***a mwanmke wa mpangaji mwenzangu ambaye mumewe namuona kila sku kama mwanaume najskia vbayamla mleni
If wishes were Ranges even beggars would driveAsubuhi umetumiwa kimakosa 76,500 ukaleta Uzi,
Jioni mpangaji mwenzio kasema, fyooo🗣️
Kazi kwelikweli
Ayo matus mm najua mke wa mtu sumu piaUsisahau mafuta mkuu yawe pembeni ili usije kuchubuka
usimle usije liwaa ndoa na iheshimiwe na watu woteMm stak kumla kabsa kwanza anyone anaonekana ni cheap
Ushaur mzurusimle usije liwaa ndoa na iheshimiwe na watu wote
Bila shaka huyo ni cheap mwenzako na ndio maana mmeelewana fasta tuMm stak kumla kabsa kwanza anyone anaonekana ni cheap
Mm sjasema nmemuelewaBila shaka huyo ni cheap mwenzako na ndio maana mmeelewana fasta tu
NB;Anza tizi la kuliwa tunda kimaskhara
Kitendo cha kutoa siri za kambi kuwa saa tat dambwe lipo wazi hiyo ni ishara kuwa umeshaelewaMm sjasema nmemuelewa
Sasa ulitaka nimwambiaje na anachuk tayr na mama umutKitendo cha kutoa siri za kambi kuwa saa tat dambwe lipo wazi hiyo ni ishara kuwa umeshaelewa