JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Sasa hapa unataka usaidiweje kwa Mfano!? ......Unaomba ushauri wa kumchakata mke wa mtu!...na wewe ni mme wa mtu! Una mke Hapo Hapo...
Kama ni mimi.....nikigundua unanimegea....wala sihangaiki na wewe...!
Namfata mkeo tu na kumweleza kwa herufi kubwa!...lazima aelewe tu!.... Unakuwa umenilainishia njia ya mm kumchakata mkeo!...
Kitu usichopenda kufanyiwa wewe...usimfanyie mwenzio!
Kama ni mimi.....nikigundua unanimegea....wala sihangaiki na wewe...!
Namfata mkeo tu na kumweleza kwa herufi kubwa!...lazima aelewe tu!.... Unakuwa umenilainishia njia ya mm kumchakata mkeo!...
Kitu usichopenda kufanyiwa wewe...usimfanyie mwenzio!