JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Nataka akija geto nmchane ukweli hapa nje watanihis vbaya maana snaga mazoea na mtu yeyoteSasa hapa unataka usaidiweje kwa Mfano!? ......Unaomba ushauri wa kumchakata mke wa mtu!...na wewe ni mme wa mtu! Una mke Hapo Hapo...
Kama ni mimi.....nikigundua unanimegea....wala sihangaiki na wewe...!
Namfata mkeo tu na kumweleza kwa herufi kubwa!...lazima aelewe tu!.... Unakuwa umenilainishia njia ya mm kumchakata mkeo!...
Kitu usichopenda kufanyiwa wewe...usimfanyie mwenzio!
Acha ujuaj🤣🤣🤣😂😂wakati naanza kuisoma nilihisi tuu utawauliza wakuu huyu demu anataka nini.
Unamaanisha kila mwenye chuki na M.Umut utampa ushirikianoSasa ulitaka nimwambiaje na anachuk tayr na mama umut
Sjasema hvo nataka akija nipe maneno yake aache wivuUnamaanisha kila mwenye chuki na M.Umut utampa ushirikiano
Pole sana Wallah
Mumeo ndo waliamuandalia ky?Andaa Ky
Icho ni kichombezo tuMkuu hiyo picha na story vinauhusiano?
Semester zote nina upper second 3.5, 4.2, na 3.2 ya Semester iliyopta bado sjafanya field na elimu sio uchawi niseme nijifiche
Ajanitafuta had leoVip Usha rudishwa pesa ulolushiwa kimakosa
Ajanitafuta mpaka muda huuVip Usha rudishwa pesa ulolushiwa kimakosa
Piga tuKatika harakati zangu za hapa na pale za kusaka elimu, kuna mpangaji mmoja ni mke wa mtu kabsa leo kaamua kufunguka eti mm naringa sana na mke wangu ( mama umut) ni wakaida na mimi skutaka kumlazia damu kwasababu hapo awali skua na mazoea na mpangaji yeye hapa nilipopanga zaid ya salamu tu basi nakamuuliza kwann unamsema hizo mke wangu na mimi mwenyewe kama naringa kwa nimekufanyia nn kibaya au mke wangu kakafanyaje shemeji?
Jibu lake eti kwani unionagi mbona unanizarau sana. Nami nikamjibu nakuzarau kivipi yani mbona sielewi? Akasema yani ww kila sku unasema mambo tu umemaliza utaki kunijulia hata hali tupige stori mbili tatu!
Nikasema hapana shemeji wewe mke wa mtu nam spendag matatzo na wake za watu nae akajibu hapana bwana shemu tuwe tu marafiki nikasema sawa basi kipindi naondoka akasema shemeji chukua namba zangu basi nikachukua nkasepa.
Picha linaanza muda huu nacheki tamthilia ya unfaithful AZAM TV huku nikiwa nmefungulia sauti ya juu kwenye subwoofer kanitumia meseji eti shemeji natamani kuja kuangalia namimi sema mama umut tu ndo kikwazo.
Nam nikamjibu njoo kesho saa 3 mama Umut akienda kusuka yeboyebo kwa dadaake kasema sawa.
Ushauri: Je, huyu anataka nn kwangu, na je nmchakate au nimkaushie tu asije nipa gono?
View attachment 2615981
Asante sana kwa baraka zakoPiga tu
Si mke wa mtu sumu