Mke wa mtu ananitesa

Ujinga wa kula mke wa mtu ni kuwa jamaa akigundua atamaliza ma hasira yote kwako ya muda ule alivyokuwa anagombana na mkewe akiamini wewe ndie uliekuwa unamjaza kiburi.
Wanawake wamekuwa wengi mno ambao hawana ndoa na ni wazuri jiepushe na majanga mkimbie huyo mke wa mtu utanishukuru kwa kukueleza haya.
 
 

Attachments

  • download (16).jpeg
    14.3 KB · Views: 6
Wait....ana watoto wawili wa jinsi gani....anaishi na ndugu wengi??? Mbona kama mke wangu🤔🥺??.....wait........ hapana sio yeye....hapo kwenye kimoko na dk 5 chali.....sio mimi....una bahati☹️🫤
 
Achana nae mwambie kama ndoa yake inmsunbua aondoke kwao atapata mwanaume mwingine anaeteseka anachukua hatua anataka kuchepuka Kwa kisingizio Cha mumewake
Si ndo hapo utadhani kashikiwa kisu kula kilazima.......huyo mwanamke ni malaya tu na nyege zaje zinamsumbua.....na huyo jamaa nae ni mpuuzi anajua kabisa mke wa mtu halafu bado analeta udwanzi apa......
 
Au sio..ngoja niendelee kuwasoma wadau wengine kwanza.
HOPE UKO MORO MKUU SIKU SI NYINGI UDADAKWA MAANA JAMAA ALIKUWA ANANIDADISI KUHUSU WEWE
YAANI KIUFUPI ANAJUA
 
Usimwambie kitu

Mpekelee mume wake sms zote then endelea na maisha yako
 
Andaa tigo yako, usiache jelly utembee nayo, utakuja juta duniani ilikuaje watu wanasema mke wa mtu ni sumu
 
HOPE UKO MORO MKUU SIKU SI NYINGI UDADAKWA MAANA JAMAA ALIKUWA ANANIDADISI KUHUSU WEWE
YAANI KIUFUPI ANAJUA
Me sipo huko mzee, mtamuonea huyo jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…