Mke wa mtu kanidanganya ananitesa

Sasa bro, anakutesa! Au, unajitesa? Sasa haya si umejitakia mwenyewe!Mambo mengine tuwe na kinyaa kidogo! Anakesha na, mumewe, anapigwa pipe(you never know, may be kila sehemu), harafu na wewe unakuja unatumbukiza mule mule!
Serious! Kwanini usitafute kigori kabinti kadogo Dogo.
 
Huo ni mtego kimbia
 
Kutojua sheria Sio kinga,kesi ipo pale pale, kwann hakuchunguza kabla ya kuvua chupi.
Hapa ni sawa na kusema sikujua kama ni mwanafunzi
Kama mwanamke kakudanganya kwamba hajaolewa? Napo utanifunga?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] malengo na mke wa mtu tena ana watoto mkuu pole sana

Kama nawaona wanaume wenzio na comments zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…