Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
😂Nimeshtushwa na makelele ya hodi ya hasira kali. Si unajua tena wanawake na midomo!!?We nawe hulali tu mpaka saa hizi unasikiliza mambo ya jirani??
Neway, wafungulie wapumzike kwako kidogo mpaka kukuche.
😂😂 Niko live bila chenga kutoka Daslam Tanzania. Naombeni niwaibieni siri, pameanza kuchangamka huku, naskia skia habari za mwanaume kusaidiwa baadhi ya majukumu na huyo mwanamke, na hii ndo jeuri inayomfanya mwanamke kurudi usikuUnaripoti matukio kutoka wapi "Livee bila chenga
Hao ni kenge kama kenge wengine utamlatua mtu makofi😂😂 Niko live bila chenga kutoka Daslam Tanzania. Naombeni niwaibieni siri, pameanza kuchangamka huku, naskia skia habari za mwanaume kusaidiwa baadhi ya majukumu na huyo mwanamke, na hii ndo jeuri inayomfanya kurudi usiku
Subiri nisogeze vyema antena zangu kwa dirisha
Wanaume tutafute hela. Siogopi chochote, ntawaletea kila kitu
Kama mulishaoneshana kukesha mtakesha sanamkuu kwenye ndoa chagua wa kufanana nae tu
Kwanini mkuu? Au hutaki niwasanue vijana waijue ndoa kindani kabla ya kufanya maamuzi?Jinga
Ni kweli😂mkuu kwenye ndoa chagua wa kufanana nae tu
Kwahiyo unataka kunambia leo haujalala na umbea wako?UPDATES: Binti aliyeingia nyumbani saa 5 usiku na kufungiwa mlango na baba yake, mama aibua mazito asubuhi hii kuwa sio mtoto wa huyo baba. Ninyi wanawake ninyi[emoji23]
Tunamsubiri arudi kutoka kwa mjumbe. Naripoti nikiwa dirishani kwangu hapa, niko live bila chenga. Tuvideo twa umbea tutafuata muda si mrefu
Naam kama mwanzo ilikuwa ni hvyo acha wavune walichopanda.Kama mulishaoneshana kukesha mtakesha sana