Mke wa mtu ndio anaingia ndani sasa hivi (saa 9:16 usiku)

Mke wa mtu ndio anaingia ndani sasa hivi (saa 9:16 usiku)

Nyapu zilikua hapo nje umeshindwa kujitafunia mkuu,umetuangusha wala kimasihara!
 
[emoji23][emoji23] Niko live bila chenga kutoka Daslam Tanzania. Naombeni niwaibieni siri, pameanza kuchangamka huku, naskia skia habari za mwanaume kusaidiwa baadhi ya majukumu na huyo mwanamke, na hii ndo jeuri inayomfanya mwanamke kurudi usiku

Subiri nisogeze vyema antena zangu kwa dirisha

Wanaume tutafute hela. Siogopi chochote, ntawaletea kila kitu
Mkuu unaongea kama yule jamaa wa hovyo hovyo nimesahau jina lake,sijui lupyana..au ndo wewe[emoji3][emoji3]
 
UPDATES: Mama kapandisha majini baada ya kugundua mwanae wa kike aliyeingia saa 5 usiku amelala nje kibarazani. Analia eti ingetokea mwanae kabakwa je!!?

Hivi ni sahihi kwa mwanaume alichokifanya?😂
Yupo sahihi.
kwani anapolewa akarudi usiku hawezi kubakwa njiani.
 
Mm nauza majeneza, wakiuana Naomba unichek chap ili niyasogeze hapo usisahau kunipa na urefu na upana wao ili majeneza yasiwabane
 
Mm nauza majeneza, wakiuana Naomba unichek chap ili niyasogeze hapo usisahau kunipa na urefu na upana wao ili majeneza yasiwabane
Gari za kubebea maiti na wachimba makaburi c wanapatikana pia hapo kwako mkuu 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom