Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unaongea kama yule jamaa wa hovyo hovyo nimesahau jina lake,sijui lupyana..au ndo wewe[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23] Niko live bila chenga kutoka Daslam Tanzania. Naombeni niwaibieni siri, pameanza kuchangamka huku, naskia skia habari za mwanaume kusaidiwa baadhi ya majukumu na huyo mwanamke, na hii ndo jeuri inayomfanya mwanamke kurudi usiku
Subiri nisogeze vyema antena zangu kwa dirisha
Wanaume tutafute hela. Siogopi chochote, ntawaletea kila kitu
Yupo sahihi.UPDATES: Mama kapandisha majini baada ya kugundua mwanae wa kike aliyeingia saa 5 usiku amelala nje kibarazani. Analia eti ingetokea mwanae kabakwa je!!?
Hivi ni sahihi kwa mwanaume alichokifanya?😂
Gari za kubebea maiti na wachimba makaburi c wanapatikana pia hapo kwako mkuu 😂😂😂😂Mm nauza majeneza, wakiuana Naomba unichek chap ili niyasogeze hapo usisahau kunipa na urefu na upana wao ili majeneza yasiwabane
Tupo full package, hata waombolezaji wapo wa kutoshaGari za kubebea maiti na wachimba makaburi c wanapatikana pia hapo kwako mkuu 😂😂😂😂
Mi ninayo masufuria na kirikuu standby....chakula ni kwa bei nafuu sana.Tupo full package, hata waombolezaji wapo wa kutosha
Fursa hii kabisa tunasubiri wauane tuuMi ninayo masufuria na kirikuu standby....chakula ni kwa bei nafuu sana.