Mke wa mtu ndio anaingia ndani sasa hivi (saa 9:16 usiku)

Nyapu zilikua hapo nje umeshindwa kujitafunia mkuu,umetuangusha wala kimasihara!
 
Mkuu unaongea kama yule jamaa wa hovyo hovyo nimesahau jina lake,sijui lupyana..au ndo wewe[emoji3][emoji3]
 
UPDATES: Mama kapandisha majini baada ya kugundua mwanae wa kike aliyeingia saa 5 usiku amelala nje kibarazani. Analia eti ingetokea mwanae kabakwa je!!?

Hivi ni sahihi kwa mwanaume alichokifanya?πŸ˜‚
Yupo sahihi.
kwani anapolewa akarudi usiku hawezi kubakwa njiani.
 
Mm nauza majeneza, wakiuana Naomba unichek chap ili niyasogeze hapo usisahau kunipa na urefu na upana wao ili majeneza yasiwabane
 
Mm nauza majeneza, wakiuana Naomba unichek chap ili niyasogeze hapo usisahau kunipa na urefu na upana wao ili majeneza yasiwabane
Gari za kubebea maiti na wachimba makaburi c wanapatikana pia hapo kwako mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Gari za kubebea maiti na wachimba makaburi c wanapatikana pia hapo kwako mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tupo full package, hata waombolezaji wapo wa kutosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…