Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,988
wamalize kuchunguza na kutoa matamko kuhusu weusi wote wanaouawa na polisi nchini kwao
Black Life Matter......
Sent using Jamii Forums mobile app
Black Life Matter......
Sasa wakati umewadia ili FBI waje kufanya uchunguzi wa Azory Gwanda Ben Tundu Lissu na wengune wengi waliofanyiwa ukatili na CCM
Sisi kama Taifa tumeshindwa kabisa na Polisi walishakiri kuwa hawawajui hao wasuojulikana
Sent using Jamii Forums mobile app