Kinachofurahisha sana kuhusu harakati za Nyumbu ni kuwa hiki nacho kinaonekana ushindi kwao..what a waste!!
Mungu wabariki Wazungu
Nilisikiliza BBC yule mama kinachomuumiza ni juu ya watoto wake kumuuliza baba atarudi lini? Si ulisema atarudi mbona arudi? Ni swali gumu sana lenye kuumiza hisia kwa mama kuulizwa na watoto wake.Inaumiz Sana. Mama na watoto kumkosa baba wanateseka. Yesu pekee ndiye mfariji wao
Not true,kafanya kama sense of humanity,ambayo wengi hatuna.Mzungu Hana urafiki na ngozi nyeusi usijidanganye.....she went to visit her for hidden purpose
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ungethibitisha hizo transactions
Zitafanyika mbeleni huko siku zaja technology utunza historia.Peves Musharaafu ,bashiru nae kahukumiwa kifo sio kwa makosa ya Jana bali ya juzi.Sasa wakati umewadia ili FBI waje kufanya uchunguzi wa Azory Gwanda Ben Tundu Kissu na wengine wengi waliofanyiwa ukatili na CCM
Sisi kama Taifa kumeshindwa kabisa na Polisi walishakiri kuwa hawawajui hao wasuojulikana
Vuta subiri, kwa sababu hata hili hatukujua kuwa watalifanyaAtawatembelea lini ndugu wa wale watu 30 waliouwawa Kibiti?
Wote hatuna work plan yao, so you need to be patientMbona Azori tu! Kule kibiti kunawatu wa ccm waliuawa wakaachwa bila waume zao mbn mh. Barozi hajaenda kuwaona?
Afukuzwe kwa kwenda kumuona mjane, what a silly mental work.Mbona hajaenda kuwaona wana ccm zaidi ya 40 ambao waume zao walinyongwa na maiti zao zikaonekana? Watapata taabu sana kumbuka pia kuna askari police zaidi ya 10 walikufa wakilinda raia huko kibiti je ameenda kuwaona? Huyo afukuzwe kama yule wa zambia.
Kwa hiyo hukumu yake ikawa kupotezwa, ndivyo sheria zetu zinavyosema.Kaimu balozi akimaliza kwa huyo mama atafanya vyema akienda kuwatembelea wajane wa Askari waliouawa na magaidi kwenye Hilo eneo la Azory Gwanda alilolitembelea.Ambalo ingekuwa kipindi kike ugaidi unaendelea Wala asingethubutu kukanyaga hapo.
Azory alikuwa mwandishi wa magaidi.Kazi yake ilikuwa ku promote ugaidi kupitia gazeti la Mwananchi .Kwa kuandika jinsi.magaidi wanavyofanikiwa kuua viongozi wa CCM na serikali ,polisi ,kuteka vituo vya polisi nk
Alikuwa ndie Spokesman wao na gazeti la habari zao lilikuwa Mwananchi na wasemaji wao bungeni walikuwa Akina zitto.kabwe na chadema
Sasa mbona serikali inasema na wao hawajui nini kimempata Azory, source ya taarifa yako ni ipi.Bila magaidi kudhibitiwa akiwemo Azory Gwanda huyo kaimu balozi asingekaa sebuleni hapo kwa Raha na mustarehe hivyo
Huenda alikuwa anashirikiana na magaidi,Mimi nakosa kuelewa uhusiano hapo. Kulikuwa na mauaji/ ugaidi maeneo ya kibiti sawa. Lakini je, yeye Azory Gwanda alihusika na kipi hasa mpaka watu 'wasiojulikana' kwa jinsi tujuavyo sisi / Mimi wampoteze? Au alikuwa mwandishi halafu akawa anashirikiana na magaidi? Interest ya 'wasiojulikana' ni IPI kwa mwandishi wa habari wa kawaida?
Wewe umekwenda, mbona unapenda kutuma wakubwa zako hivyo, adabu za wapi hizo.Akitoka kwa mama Azori aende na kwafamilia za wana ccm ambao waume zao walikatwa vichwa huko kibiti bila kusahau familia za maaskari waliopigwa risasi wakitulinda sisi laia huko kibiti, asikomee kwa huyo mama tu.
Kauli yako inapingana na mwenzako Babarosa, yeye anasema ilibidi ashughulikiwe kama magaidi walivyoshughulikiwa, hamkukaa kikao cha jinsi ya kujibu hapa JF?Huyo azori hakuna anaejua yuko wapi labda alitekwa na magaidi au alikimbia nao kwenda huko kwao maana hakuna wakulaumiwa hapo na police uczani imelala bado inafatiria