katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Hata mimi sikuwa nimekuelewaMwanamke ni kinara cha familia mwanaume ni makanyagio ya chini ya miguu watoto ni tumbo na vilivyobakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi sikuwa nimekuelewaMwanamke ni kinara cha familia mwanaume ni makanyagio ya chini ya miguu watoto ni tumbo na vilivyobakia
Duh! Inamaana hata kutunza watoto pia ni hela za mwanaume wewe zako hazihusu? Hv familia ni mume au ushirikiano wa mume na mke?Hapa yuko sahihi kabisa. Mm mume wangu huwa akichukua hata mia yangu ujue huo ni mkopo, atarudisha tu.
Hapa jiandaye, soon atakuwekea sumu kwenye msosi. Kilicho moyoni mwake ni wewe kurest in peace.
NdioDuh! Inamaana hata kutunza watoto pia ni hela za mwanaume wewe zako hazihusu? Hv familia ni mume au ushirikiano wa mume na mke?
I am a woman!Shida ni kwamba wanataka watoe hela pasu pasu na mkewe afu bado anyenyekewe (mikazii yoote)
Wanashindwa kuelewa mwanamke Hamna Kitu kinachomuuma Kama hela afu ukute huyo kaka hahudumii mahitaji ya bidada ajinunulie mwenyew ,hapo lazima ataona mume mbinafsi
Aisee wakitaka warambwe mpaka unyayo,kupendwa mpaka ncha y'all unywele wahudumie familia yao bila kupiga jicho hela ya mwanamke..... Huyo dada atakupenda mpaka uhisi anaigiza
Kwa wanaosema kaanza jeuri sababu ya kuchepuka sio Kweli .... Mara nyingi mdada akiolewa kuchepuka Labda anatafuta amani ya moyo, attention, care.!!! Na si vinginevyo
Aisee! Alafu wewe unategemea kupata mwanaume uwe mke kwa akili hz? Utapata tabu sana dadaSijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo
Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Ni ujinga kufikiri wewe mwanamke umesomeshwa ili ukahudumie wazazi wako! Je mwanaume siyo binadamu? Kama wewe umesomeshwa na wazazi wako uwahudumie na mwanaume amesomeshwa na wazazi wake ahudumie wazazi wake! Kwa mantiki hiyo nani atahudumia familia yao? Michepuko?
Nikueleze mzazi lazima asomeshe watoto alowazaa kwa raha zake ( mwanamke wazazi wake na mwanaume wake pia). Hivyo wewe na mwanaume wako ni jukumu lenu kuhudumia watoto wenu ambao kwa raha zenu mmewaleta duniani! Jukumu lenu si kuhudumia wazazi ila watoto wenu! Ni mwanamke mpuuzi kama zenc anayeona kazi yake kuhudumia wazazi baadala ya watoto wake aliochekecha kiuno kuwazaa
That's a really man!! Mpe tano kwa niaba yanguHuyu jamaa bwana
Wangu nikianzaga kubwabwaja ananivuta chumbani
Anapiga show alafu katikati anakuuliza ulikua unasemaje?
Nabaki naomba msamaha tu!
Acha ubabe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].. nyie km vitoto vya form 6[emoji87][emoji85]... mie sipendi kelele... in anymeans mie aipend kbs makelele ila.siku nikiamuaga kusema anawekaga mkono.km.mic hvz narap weee namaliza..ila kubwabwaja siwez..ila huwa nataman mie ningekuwa na nguvu za kupigana..kila week ningekuwa namfumua sana sana
Umenikumbusha binti mmoja alikuwa ananisimulia anavyosumbuliwa na kaka yake aliyemaliza chuo hana hela awe anamtumia. Jamaa anadai sister yake atakuwa na hela tu maana anahongwa!Punguzeni kujilinganisha na wanawake
Mtaishi kwa Amani
Unakuta mwanamke anaongea mwanaume nae anachambana na mkewe
Kila pesa ya mwanamke unaitamani na kuipangia matumizi halafu unajiita mume
Hapo naona ni ndoa ya wake wawili
kumbe sexless nao wanaolewagaHapa yuko sahihi kabisa. Mm mume wangu huwa akichukua hata mia yangu ujue huo ni mkopo, atarudisha tu.
Hapa jiandaye, soon atakuwekea sumu kwenye msosi. Kilicho moyoni mwake ni wewe kurest in peace.
Acha ubabe[emoji23][emoji23]
Kwa style hii mke akitaka haki sawa wala usilalsmike maana hamtakuwa na tofauti
Unadhani msemo wa ukioa mchagga lazima ujenge kwao ulitoka wapi?Mmh Hii ya uongo.. me sijawahi ona wanaume wa kichaga wakifanya hivo ila nachojua ni kwamba ukimuoa Dada yao ukamnyanyasa utajuta.
Sijui maana mm mume wangu hajajenga kwetu sisi tunajenga kwa ajili yetu na wanetu kwetu wanajenga kaka zangu sasa sijui kama eti mashemeji ndo wanajenga nyumban tenaUnadhani msemo wa ukioa mchagga lazima ujenge kwao ulitoka wapi?
Yaan huu n upuuzi wa kiwango cha hali ya juu..eti unategemea Dada yako akupe hela maana anahongwa! Mwanaume wa hivi mwisho ataolewa kabisa mfyuuuuuUmenikumbusha binti mmoja alikuwa ananisimulia anavyosumbuliwa na kaka yake aliyemaliza chuo hana hela awe anamtumia. Jamaa anadai sister yake atakuwa na hela tu maana anahongwa!
Yaani unajiuliza mtu mzima, graduate, anatamani hela za kuhongwa za mdogo wake wa kike!!! Sijui jamaa naye anatamani ahongwe!!!
Kwa hiyo mke ndiyo matako hahahahahahaMwanamke matako ya familia watoto miguu ya familia
Huwezi sema ukweli na hasa ukiwa na kyasaka! Lakini huwa wanamkomba kyaru?Sijui maana mm mume wangu hajajenga kwetu sisi tunajenga kwa ajili yetu na wanetu kwetu wanajenga kaka zangu sasa sijui kama eti mashemeji ndo wanajenga nyumban tena