Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Mke wa ndoa anaposema maneno haya anamanisha nini ?

Formula ya ndoa ni upendo, heshima, na uaminifu. Mengine yote yaliyobaki, ikiwemo majukumu unayoyataja, ni makubaliano baina ya wanandoa.
Hivi kama wewe unamtazama akiwa anafua, anajiandalia chai anapiga pasi unadhani akitokea mwenzako akamfanyia hayo yote wewe utakuwa nafasi gani kwake...?!


Kama nimakubaliano, utasemaje mwanaume akiwa hana time na kukuhudumia kwa gharama za maisha hapo ndani na mengineyo.....unategemea utajisikia vizuri kuwa upo na mwanaume....

Acheni kwenda kinyume na maandiko na mafunzo ya vitabu vya MUNGU. Haya mafunzo yanayotokana na viburi vya wadamu waliokosea hayatawafikisha popote cha zaidi ni kukupoteza shimo la umauti wa kiroho.....

Mnakera sana wanawake viburi.
 
Hakuna sheria kwamba ni Lazima haya majukum yafanywe na mwanamke wala Mungu hajasema mwanamke apike..afue..adeki nyumba..apeleke maji bafun n.k...hii imekuja tu kama mazoea kwa sababu wanaume wamejiwekea kuwa kaz hizi ni za mwanamke.. Lakini kila kitu ni makubaliano unaweza ukafua pia na mke wako akapika
maana ya msaidizi ni nini? Maana naonaga mnasema eti mwanamke ni masaidizi wakati kila kitu mnamwachia..sasa kama anakusaidia wewe unafanya nini? Maana kama anakusaidia inatakiwa mfanye wote (msaidiane)....maana hata kutafuta kipato kwa ajili ya maendeleo ya familia mnasaidiana pia... kwa mtazamo wangu mwanaume anaweza jihakikishia kuwa hizi ni kazi za mwanamke peke yake kama tu mke wake anabaki tu nyumbani wakat yeye anaenda kuhangaika kutafuta hela tofauti na hapo msaidiane kila kitu..mwanamke naye anachoka pia.
Sasa unapinga nini na unakubaliana na nini?!
Maana ni kama upo kote kote.....je upande sahihi !ni upi?!

Hiyo mwanamke kujitafutia kipato ni kiherehere chenu wenyewe.....vitabu vya MUNGU vimeshaweka bayana kuwa mali na utajiri wa mwanamke upo kwa mume wake.....na mwanamke aliumbwa kuwa msaidizi....narudia tena msaidizi sio mtumwa wa mwanaume.....sasa unakwaje na msaidizi anakuwa busy na mambo yake na hasimamii habari zenu.

Kwa kifupi wanawake wa sasa hivi bible zenu ni post za malalamiko ya wanawake waliofeli kama akina joyce kiria na akina wema ndio mnaowatuma kama mifano na role models kwa maisha yenu......n


Sijawahi kuona mnafuata mfano wa akina dada wanaojielewa ndio maana akili zenu zipo waru waru busara na hekima hamna kabisa..........!
 
Tatizo nyie upendo kwenu ni kutoa mgegedo na kwa mwanaume upendo mnaotaka ni kupewa pesa basi mengine hamuyafahamu.....

Rejeeni vitabu vya MUNGU mtaona ukweli kizazi cha nyoka ubishi ndio umewakomaza akili zenu mbovu hizi
 
Hapo ndo utaelewa kwanini unaambiwa "ndoa ni uvumilivu" kwa wale tusio choshwa na mboga ya dagaa tukiamini ina mapishi mengi nahisi tunaelewana
 
I am a woman!
Ila ninachoshangaa wanawake siku hz mmekuwaje? Yaani unafanya kazi na mmeo anafanya kazi mna watoto (familia) lkn mke hutaki kutoa hela yako kusaidia familia. Mume ndo afanye kila kitu, kodi ya nyumba, chakula, ada za watoto, umeme maji vyote afanye mwanaume, wewe mwanamke hela yako kazi yake nini? Chakushangaza zaidi utataka nguo ununuliwe, viatu, chupi, nywele usiponunuliwa unadai hakuudumii, jamani hii ni haki? Wewe zako unapeleka wapi?

Wanawake acheni ubinafsi, huo ni ubinafs wa hali ya juu. Familia ni ya wote baba na mama. Kutunza watoto ni jukumu la wote baba na mama labda tu mama uwe huna kazi wala kitu choxhote cha kukuingizia kipato hapo sawa mwanaume ana haki ya kufanya yote.

Maisha ni kusaidiana sio kukomoana jmn
umeshasikia wanaume wanaambiwa waishi na wake zao kwa akili basi na wanawake waishi na waume zao kwa akili... Wanaume wana michepuko mingi na wote wanahongwa..wengine wanazaa nao kabisa wewe ukijidai unajua Sana kusupport mmeo kumbe unamsupport awatunze malaya wake.. Wenzio huko wanapewa kila kitu wewe ndo unajidai unajua kusaidiana na mmeo kalagabahoo
 
umeshasikia wanaume wanaambiwa waishi na wake zao kwa akili basi na wanawake waishi na waume zao kwa akili... Wanaume wana michepuko mingi na wote wanahongwa..wengine wanazaa nao kabisa wewe ukijidai unajua Sana kusupport mmeo kumbe unamsupport awatunze malaya wake.. Wenzio huko wanapewa kila kitu wewe ndo unajidai unajua kusaidiana na mmeo kalagabahoo
Hujielewi
 
SkSka
Sijui nisemaje lakini kukunyima mshahara wake ni haki yake ....pesa za mwanamke ni za kwake yeye mwenyew ..kama ataamua kukusaidia majukumu sawa vinginevyo hutakiwi kuzipangia matumizi zile ni zake....kakwambia kweli kasomeshwa na wazazi wake ili awafae baadae hakusomeshwa sababu nyingine ....kingineee kupeleka maji bafuni sio kazi yake labda aamue kukupelekea kwa mapenzi yake tu .....kufua pia labda aamue kukufulia kwa mapenzi tu vinginevyo tafuta dobi ...samahani kama utakwazika lakini habari ndiyo hiyo

Somesha wanao usimtegemee yeye wewe ndie kichwa na kiongozi wa familia
Slay qeens bwana,kwani waxazi wangu hawakunisomesha niwasaidie,Sera yetu 2019 make more single mother
 
Kama ni kwel nakupa pole, pesa yako ni ya kuhudumia familia na yake ni yake usiiweke kwy mahesabu, mzoee tu mkeo ni mbinafsi sana hadi kwa watoto wake


Kaka hapo tatizo ni zaidi ya ela ya m/mke, anaweza akakatalia ela yake kwa sababu au style tofauti na hiyo lakini sio kwa majibu hayo, 100% kuna kinachompa jeuri!!!
 
Msingi mkuu wa ndoa ni kauli, hata kama m/mke hataki ela yake itumike kuna kauli anaweza kutumia lakini sio kwa majibu hayo unayojibiwa maana hapa tatizo sio ela ya m/mke isipokuwa tabia zake.......
..........hatuwezi kuhukumu maana sio kazi yetu lakini kuna uwezekano mkubwa tayari m/mke ana mahusiano nje ya ndoa yake, m/mke akishatoka nje mara nyingi huhamishia moyo wake kwenye penzi jipya na hufikia hata hatua ya kumdharau na kumchukia mme wake na humuona kama takataka, jitu la ajabu na mengine mengi ndo maana kuna kiipindi anapokuwa sawa hujuta kukuomba msamaa lakini kwa sababu moyo hauko kwako tena baada ya muda mfupi hali hurudi vile vile tu!!!
 
Bila shaka amepata jamaa anaetumia vumbi la kongo pili kwanini unafanya kazi za kike? Mimi mwanamke hata awe anaumwa kupika atapika tu aisee, yani ningekua na mwanamke wa aina hio angekua anakula vitasa si mchezo ila hakunaga mwanamke anaependa kuona hela yake inatumika
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Hivi una miaka mingapi mkuu, naona kama utoto bado unakusumbua, hujui ndoa ni nini, mwanamke unataka akupe hela zake?
Ngoja nikwambie, mwanaume wa ukweli yupo hivi, kazi zote za ndani ni zako sio mwanamke, yeye anakusaidia tu.
Majukumu yote ya kulea familia pamoja na mkeo ni yako, usimuombe pesa yake, akikupa ni mapenzi yake kwako.
Mwanamke huwa hapendi, bali anapendwa. Yeye kazi yake ni kukutii tu.
Shauri zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini



Huyo hafai, usikute kishamegwa nje tayari na kujawa na kiburi. Mwanamke yeyote akishaliwa nje LAZIMA atageuka tu no matter what.
 
Iko hivi mwaka 2008 tulibahatika kupata mtoto bila ndoa 2014 tukapata mwingine bila ndoa ila mwaka 2016 tukabariki ndoa na sasa tunaishi kwenye ndoa ya watoto watatu sasa hivi huyu mke amekuwa na maneno makali ya kuchoma moyo na mwili
mfano

1.nilimwambia jana mbona nguo chafu na hapo jikoni hapako vizuri na nasema hivyo coz kulikuwa ma wageni watakuja kututembelea akaniambia mwanaume wewe una gubu

2.ananiambia nimemweka kifungoni nimemfanya mjinga sana kwa mda mrefu ila sasa ninajitambua
ananiambia hivyo baada ya kumwambia tuweke mahesabu sawa kati ya fedha take na yangu kwa ajili ya maandalizi ya watoto shule january alikuwa mkali kama pilipili na hajawahi kuniambia maneno aliyoniambia
mfano;

Miaka yote pesa yangu sina uhuru nayo nimesomeshwa na wazazi wangu kwa ajili ya faida yao na siyo kwako na matoto yako kwa ujue utawapeleka vipi matoto yako shule pesa yangu achana nayo kabisa kama unataka uje uniombe
hapa nikamjibu haitatokea kumwomba kama amechoka watoto anipe wanangu

3.Ongeza hawezi mapenzi ya kubembelezana bembelezana sijui nikupetipeti sijui nikulambe wapi ukiyataka hayo katafute wenye nayo kwangu hutoyapata na ukitaka kaoe kabisa ila ujue watoto wao na akaongeza siogopi kuachwa hata kidogo na ungejua kilichopo moyoni mwangu(kwake mke) ungenyamaza tu

Huwa nina kawaida ya kumsaidia kazi za ndani kama kuchota maji,kufua,kupika, sasa jana kaniambia wala sitaki unisaidie vikazi unavyonisaidia.

then wenzangu mlioko kwa ndoa na mna watoto siyo chini ya watatu nguo zenu zinanyooshwa na wake zenu au nyie wenyewe,viatu au makobazi yanafuta na kupakwa ranging na mke au nyie wenyewe.
je maji ya kuoga mnapeleka wenyewe au mnapelekewa mimi nafanya vyote hivyo mwenyewe .

Anasema hayo yote then asubuhi analia tu na kusema yaishe nashindwa hata kuelewa anataka nini anafikiri nini na matarajio yake nini
Mtu anafikia hatua ya kukwambia laiti ningejua niwazavyo halafu bado tu unaishi nae mzee baba ....!! Aisee subiri uwekewe sumu ufe ukawa hadithie kuzimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom