Mke wa ndugu yangu aivunja ndoa Yake kwa mikono Yake mwenyewe

Mke wa ndugu yangu aivunja ndoa Yake kwa mikono Yake mwenyewe

Kama aliyosema Joel yana ukweli naunga mkono kuvunjika ndoa hiyo

Halafu unatoa wapi nguvu ya kuruhusu mkeo auze pombe? Hivi tunasahau maji hufuata mkondo?

“Mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe”
- Sijui
Watoto wa kiume wakikuona na dada/mama yao tu wana'mind hata mawe wanaweza kukurushia wa kike sasa [emoji23] kwanza hawana noma wao poa poa tu tena wanachekelea wakikuona.
 
Safii piga chini, wako wanawake wajinga sana
 
Back
Top Bottom