Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
haya ya mke mmoja tumeletewa tu sio asili yetu. nasisi wala ndio ivo hatuchuji yakutufaa.Ukristo hautambui mke zaidi ya mmoja, lakini wapo wakristo waliowa wake zaidi ya mmoja, sasa hapo utaulaumu ukristo au mkristo?
Hii imeka poa sana...mke wake anastahili kupewa tuzo ya superwomanView attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe
mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo
" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu .
Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu π" alisema mke wa Neyo
Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,π
Credit - daniellokamacheki
Mkristo maana dini ni jambo la mtu na dhamira yake.Ukristo hautambui mke zaidi ya mmoja, lakini wapo wakristo waliowa wake zaidi ya mmoja, sasa hapo utaulaumu ukristo au mkristo?
Huyo huyo Mungu ndiyo aliyeturuhusu waislamu tuoe wanne , una shida na hili?Mwenyezi Mungu alipomuumba Adamu alimpa mwanamke mmoja tu. Tamaa sio solution ni kujidanganya.
kiongozi unamuono wa mbali sana wewHii imeka poa sana...mke wake anastahili kupewa tuzo ya superwoman
Msimamo mzuri kivipi? Unajuakuwa kuwa hao wanawake walikuwa hawatowi papuchi zao bure, walikuwa wanalipwa hivo!? Kwa maana nyengine ni sex workers, ni malaya! Mke anakutafutia wanawake usex naoHuu ni msisimamo mzuri sanaaa na laiti wanawake wengine wangefanya hivi hii Dunia ingekuwa safi sana tunengeepuka magonjwa kwenye ndoa
Kubwa tunachotakiwa kujua nii Wanawake wana nafasi kubwa ya sisi wanaumen kuishi maisha marefu
kwa sasa hizi zinabaki kuwa tafsiri tu hazina maana yoyote. kikubwa mdada kaokoa ndoa yake.ni malaya! Mke anakutafutia wanawake usex nao
Alieye waruhusu sio Mungu.Huyo huyo Mungu ndiyo aliyeturuhusu waislamu tuoe wanne , una shida na hili?
Na hawezi kumuacha mwanamke wa namna hiyo katika maisha yake yote, maana kishaziba mianya yote ya matamanio ya mwanaume. Kuna nini tena hapo?Kuna watu wana bahati hapa Duniani, hao ni wale Wanawake wanakuuliza Mume wake, nikupe nini tena uinjoi...
Kama una nguvu, ni kujilia mema tu hadi unazeeka π€
Ni nani? Na unaweza kuweka ushahidi hapa?Alieye waruhusu sio Mungu.
Neyo ni mimiView attachment 3138902Mke wa Mwanamuziki maarufu duniani Neyo awaleta Wanawake Wawili warembo ambao Kazi Yao itakua ni kujamiana na mume wake kipindi ambapo atakua ameenda kujifungua au katika kipindi chote ambacho yeye itakua shughuli nzito kukutana na mumewe
mke huyo anasema hakutaka mume wake aanze kuhangaika na Wanawake wa nje ameamua amletee mwenyewe ili arahisishe mambo
" Nilimletea Wanawake Wawili ambao ni Sexy sana warembo kweli kweli kipindi hiki Cha ujauzito mpaka siku ntajifungua. Wanawake hao walikua wanakuja wakati mume wangu akihitaji tendo kutoka kwangu .
Lakini nilipojifungua na kupumzika vya kutosha Wanawake hao waliondoka na nilifanya hivo kwa sababu sikutaka mume wangu afuate nje Bora nimletee ale mwanamke ambae nimemchunguza ili asilete virusi ndani ya nyumba yangu π" alisema mke wa Neyo
Vp wadau hii kwenu imekaaaje ,π
Credit - daniellokamacheki
Wivu tuUshetani huu
Kwa kweli Mkuu, Mke wa hivyo hawapatikani Kwa urahisiNa hawezi kumuacha mwanamke wa namna hiyo katika maisha yake yote, maana kishaziba mianya yote ya matamanio ya mwanaume. Kuna nini tena hapo?
πππMajuu hamnazo.
ππwe kjamaaKuna watu wana bahati hapa Duniani, hao ni wale Wanawake wanakuuliza Mume wake, nikupe nini tena uinjoi...
Kama una nguvu, ni kujilia mema tu hadi unazeeka π€