Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Dunia sio kitu
IMG_20220117_223353.jpg
 
Kikubwa Anaumwa
Huyo hanaga Shida na Mtu
hana Majivuno
Ni mgonjwa kama umejaaliwa Msaidie
kama Huna Usikatishe Tamaa Wengine
sio kila Ugonjwa lazima Uwekwe wazi
Jua Anaumwa na nikweli Mgonjwa
kwa hyo nikijua ugonjwa anaoumwa ndo nitakatisha watu tamaa 🙁🙁
 
Back
Top Bottom