Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamjua prof au umeongea tu ? jamaa yule anaishi ki utu uzima sanaTatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Cc Diambondi...Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Cc Diambondi...
Nlitaka kuuliza hili swali .?Hivi wabunge wastaafu nilisikiaga wanapewaga bima ya kudumu tena yenye package za juu kabisa. Kunani tenaaaaa???? Mungu ampiganie prof jizeee apone
Ukimaliza ubunge nayo imeisha hiyoooNlitaka kuuliza hili swali .?
Bima yao ni premium, wenye uelewa watueleweshe
Wakati unaleta umbea wako hapa kuhusu wasanii kwanini usiwe unawashauri,tukikuita MNAFIKI tutakuwa tunakosea?Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
kwa hyo nikijua ugonjwa anaoumwa ndo nitakatisha watu tamaa 🙁🙁Kikubwa Anaumwa
Huyo hanaga Shida na Mtu
hana Majivuno
Ni mgonjwa kama umejaaliwa Msaidie
kama Huna Usikatishe Tamaa Wengine
sio kila Ugonjwa lazima Uwekwe wazi
Jua Anaumwa na nikweli Mgonjwa
Ishu ni kujua anaumwa nini au kumsaidia gharama za matibabu!?Ruge ugonjwa wake ulitajwa hadharani na raia wakachangia kwa moyo. Naomba niishie hapo
Kumsaidia mtu matibabu ya ugonjwa unao msumbua ili ujue unatoa kiasi gani. Kuna watu labda wangependa kujitolea viungo vyao au kwenda zaidi ya hapo.Ishu ni kujua anaumwa nini au kumsaidia gharama za matibabu!?
Kwani Na yeye alikuwa anapiga picha na maburungutu ya fedha kama Mayweather!?Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Hivi ukimuomba Mungu amponye ugonjwa unaomsumbua, Mungu atakuuliza "anaumwa nini kwanza " kabla hajamponya?si waseme tu nini kina msumbua ili tujue na sisi hata tujue tunamuombea je kwa Mwenyezi Mungu.
Anyway ngoja ni change na mimi maana ni Kamanda mwenzangu.
Jay ni mtu poa sana mkuuSio fresh hata kama wanaishi maisha ya kifahari lkn sio kwa J , hana Show off ka wengine.