Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
Mtu wa watu!“Jay ni mtu wa watu, sababu ya kuamua kuzungumza hadharani ni kwa kuwa ana mashabiki wengi, tukaona hatumtendei haki, tunaomba watu waungane nasi zaidi tumuingize lwenye maombi yetu ili apone, lakini suala la pesa nalo ni muhimu pia,” alisema Grace.
Wakati mnasema mnataka privacy hamkujua Jay ni mtu wa watu? Kuiga tamaduni za kizungu ambazo hatuzielewi wala hazituhusu....
Walitoa tamko kwa umma Jay na familia wanaomba tuwape faragha zao wakati wakiuguzana.... leo wanasema tuungane nao kwa mchongo wa pesa na maombi.... tushike lipi ?
Wenzenu Ulaya huko wakisema gwiji fulani jamani linaumwa linaomba privacy yake hawawezi kurudi baada ya siku tatu kupiga yowe tumsaidie....