Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Acha roho mbaya mkuu binafsi jamaa alipiga hela ila majanga yalikuwa mengi! Imagine uvunjiwe nyumba ghafla unafikiri kujenga same house ni bei gani?

Naskia pia mbowe alikusanya hela toka kwao ku fund kampeni za lissu mwaka 2020. Sasa hebu imagine una 150M na unevunjiwa nyumba. Ujenge nyumba mpya labda 60M hivi na makorokocho ya ndani 75M kuna hela tena humo?

Hapo bado kuna mke na mtoto wa kum support haya kingine akakosa ubunge term iliofata. Nilipoona mkewe kaanza tu kuwa MC nilihisi tayari kuna tatizo kwenye ile familia.

Kwa stage ya maisha aliyofikia hakuwa mtu wa kuunga show au kutafta kazi ya utangazaji. Let the nigga fight for his life jamani tum support sababu mitihani ni sehemu ya maisha hakuna mtihani mgumu kama kuumwa. Mungu amjalie afya aweze kuendelea ku support familia yake tuache kiburi cha uzima na mabezo.

Ipo siku na sisi tutapitia kuumwa tu wala sio swala la kumbeza mtu na kumkejeli. We would all need help in some way.

Hata uwe na million 100 jiulize dialysis kila week ni laki 3 unafikiri ni hela kiasi gani utatumia ukilala kwa week 20 tu? Bado gharama za kitanda kwa VIP daily kulala unaweza pigwa laki au zaidi. Matibabu sio rahisi tuache kiburi cha uzima jamani!

Bima tulizonazo nyingi ni za janja janja inakutibia magojwa ya malaria tu na UTI magonjwa mazito inakuacha upambane na hali yako nyie acheni tu!
Mkuu ndio maana tunasema wawezeke wazi wapate sukuhisho kama ni figo,watu wachange apelekwe India abadilishwe maisha yaendelee kuliko kuendelea kufanya dialysis.
 
Basi kama Hamna sababu unaomba msaada wa nini? Hela zinatafutwa kwa jasho hazitoki kama njugumawe kama unahitaji msaada huna budi kusema kinachokusibu
Si kasema anaumwa!! Unataka ugonjwa wa nini? Kuna magonjwa ni siri. Shida zake zisifanye aporwe faragha yake.
 
Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Aisee Tusiokuwa nacho tuna rohi mbaya sana,kuna watu tukifanyiwa tathmini mioyoni mwetu basi sababu ya kutokubarikiwa itafahamika dhahiri.Umasikini ni mbaya sanaa
 
Sasa Kama walimzushia ulitaka asiseme.

Acha kunenea watu mabaya na una kizazi hujui utazaa nini.
Mabaya yapi ?Kusema ukweli kuna ubaya gani ?I hate the virus (HIV)but i don't hate people affected by the virus. Ninamuombea Mungu amponye though ikifika kwenye figo kufail ni majanga. But still miujiza ya Mungu ipo anaweza kupona.
 
Sijawahi sikia... labda useme mlitangaza wapi, gazetini, redioni, mitandaoni. Na wakati mnatangaza nani alikuwa anaumwa?
Nilikuwa naumwa mwenyewe...niliishia kusaidiwa na ndugu tuu. So na yeye asaidiwe na ndugu tuu
 
Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Kua kiakili boy child, Jay hana mambo ya 'kiduanzi' kama hii comment yako inavotaka kutuaminisha.

Otherwise umeanza kumfahamu juzi
 
Mtu wa watu!

Wakati mnasema mnataka privacy hamkujua Jay ni mtu wa watu? Kuiga tamaduni za kizungu ambazo hatuzielewi wala hazituhusu....

Walitangaza Jay na familia wanaomba tuwape faragha zao wakati wakiuguzana.... leo wanasema tuungane nao kwa mchongo wa pesa na maombi.... tushike lipi ?

Wenzenu Ulaya huko wakisema gwiji fulani jamani linaumwa linaomba privacy yake hawawezi kurudi baada ya siku tatu kupiga yowe tumsaidie....
Muwasamehe
 
Nilikuwa naumwa mwenyewe...niliishia kusaidiwa na ndugu tuu. So na yeye asaidiwe na ndugu tuu
Mtu wa Watu mtu wa Jamii Tanzania nzima hata Dunia ni ndugu zake.....

Kuna mtu anatoa kazi zinazoishi hata kama yeye humjui ila kazi zake kuna siku zilikuburudisha..., atleast hata kama humpendi basi arudi kundini ili kuendeleza kutoa kazi....

As a specie karne hii tunakosea sana kudhani ndugu ni uliyezaliwa nae tu, kumbe ndugu ni yoyote mwenye shida...; Wangekuja kuomba pesa ya michango ya harusi au Birthday ningekuwa wa kwanza kuwachana, ila sio Uhai... (Na tusijidanganye sijui Uhai kuna siku Mungu amepanga, ukikosa huduma fulani utakufa day one / hakuna mipango wala nini)...., Kuna wakati Mwenye Njaa anahitaji zaidi Mkate kuliko Sala
 
Magu mwenyewe na utata wake aliuelewa sana mziki wa Prof Jizzle!

Mungu ampe uponyaji huyu mwamba peace sana!
 
Back
Top Bottom