ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Niliuguza mgomjwa wa figo 2018-2021 mkuu, nilijua mengi kuhusu huu ugonjwa. Nilitembea sana Muhimbili na Mloganzila hivyo najua kiasi chake.Ww ndo umenena mkuu, achana na yanayobwabwaja et oooh bima haicavi figo, kumbe hayajui kitu.
Ona sasa kumbe NHIF wana bima kubwa ya almost 1.9M inayohudumia magonjwa kama hayo na hatujui. Na yy kumbuka alikuwa mbunge, so atakuwa anafahamu. Ila sema ss binadamu tunajisahau sana.
Yakitukuta ndo hivyo tena, kulaumiana