Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
AsantePole sana mkuu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsantePole sana mkuu .
Ukweli unauma. Umesema kweli kabisa kabisa. Tutamwombea sawa. Ila kama usemavyo hii issue ya kwao na walitakiwa watumie mali zao watu wao ndugu zao.Kila wakati huwa nasema hawa wasanii wawe wanaangalia na kujifunza kutoka kwa wenzao,hawa wasanii nyota ni kama hawajui kuna kesho, hawa wasanii wakiwa kwenye good time hawajui kesho na hawajuia kama kuna watu wana shida na kuwa kuna siku nao watakuwa hawana kitu.
Mimi nikiugua au ndugu yangu akiuugua siji mitandaoni kuomba msaada,ni mzigo wangu. Ukienda pale Muhimbili kuna mwembe unaitwa Mwembe mawazo huwa wanakaa watu mbalimbali kila mtu anahangaika na mgonjwa wake,utasikia huyu anapiga simu uza shamba,au muambie baba mdogo achangie , na wala hutawasikia kusema tuweke namba zetu mtandaoni tuwaombe watu.
Pamoja na umasikini wao, mzigo wangu ni wa kwangu, kila mtu abebe furushi lake! hawa wasanii hakuna wanaowasaidia wakiwa kilingeni wao ni starehe na watu wao.
Aisee nimelia. Mwembetogwa? Ngoja niende nikajionee kama ni kweli usemayo.Ukweli unauma. Umesema kweli kabisa kabisa. Tutamwombea sawa. Ila kama usemavyo hii issue ya kwao na walitakiwa watumie mali zao watu wao ndugu zao.
Pale mwembe mawazo ukisikia jinsi raia wanavyohangaika ndugu zao wapone waweza toa machozi kabisa.
Wasanii kumbukeni bima za afya. Wakumbuke kuwekeza. Wakumbuke nasi tuna majukumu yetu. Wakumbuke pia wasije kwa raia wakati wa shida huku tukiwa vituoni wao wakipita na magari ya kifahari yenye ac na kutuona kinyesi…
Alikuwa shareholder mkubwa CMG, alikuwa anamiliki Prime Time Promotion, Alikuwa mmiliki wa Escape One and Two, mmiliki wa THT alikuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni ya Tatumzuka. Alikuwa mratibu wa matamasha makubwa karibu yote nchini kupitia Primetime Promotion. Alikuwa na miradi endelevu akipitia CMG kama Summer Jam nkRuge aliwekeza nini na nini outside cmg?
Ulitangaza kwamba usaidiwe?Nilikuwa naumwa mwenyewe...niliishia kusaidiwa na ndugu tuu. So na yeye asaidiwe na ndugu tuu
Nitangaze ya nini bwana wewe wakati mchuma janga hula na wakwaoUlitangaza kwamba usaidiwe?
Kumbe hukutangaza, basi usilakamike wala kuwalakamikia wanaotangaza. Huwezi changia kilichotangazwa kaa kimya tu...Nitangaze ya nini bwana wewe wakati mchuma janga hula na wakwao
usipochangia wengine watachangia hakuna kitakachopungua.Sitachanga
Daa we jamaa Jose amewahi kukudharau vipi? Acha roho mbaya.Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Labda unazungumzia wale wengine.Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Uwezi jua, wasanii wakubwa ukitaka kuwajua ukiwa underground unataka msaada utoke, ndo utajua kachumbali mboga au Nini, afadhali wasanii wa kizaz kipya wanamoyo sio manguri wa zamani.Daa we jamaa Jose amewahi kukudharau vipi? Acha roho mbaya.
Kikubwa Anaumwa
Huyo hanaga Shida na Mtu
hana Majivuno
Ni mgonjwa kama umejaaliwa Msaidie
M 200 za mafao zimeisha???Pole sana prof: tuchangie jamani
Pamoja na wewe mradi tu kama nawe ni binaadamu figo yako moja tu inatosha.Kama ni Figo watu wafanye the needful; Binadamu moja tu inatosha...
Pole Sana kwa Prof, Ndugu, Jamaa na Marafiki