Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Mke wa Profesa Jay afunguka, familia yaomba msaada wa matibabu

Tatizo la wasanii wanaishi maisha ya kifahari sana na kuwaona raia wa kawaida kama kinyesi ila wakiumwa haraka sana wanatembeza bakuli tuwachangie.
Mkuu msanii yupi huyo anayeishi maisha ya kifahara na anakuona wewe kama kinyes*?
 
Wacha chuki kuna mwenzio niliona kakoment kweny post ya AY kwamba si mwanae anasoma Feza izo mambo acha kabisa matatizo sio kitoto pro j mpaka wapinzani wanamkubali yaani CCM hana kik za kitoto wala show off za kishamba
Watu wana inferiority Complex ya hali ya juu sana ...

Wengine wakipitwa kipato na mali kidogo tu, wanajawa na wivu na chuki wanaanza kuwachukia wnye mafanikio zaido yao.. kana kwamba matatizo yao ya maisha yamesababishwa na waliofanikiwa kuwazidi

"Umasikini unaleta chuki na hila kwenye mitaa"
 
Acha roho mbaya mkuu binafsi jamaa alipiga hela ila majanga yalikuwa mengi! Imagine uvunjiwe nyumba ghafla unafikiri kujenga same house ni bei gani?

Naskia pia mbowe alikusanya hela toka kwao ku fund kampeni za lissu mwaka 2020. Sasa hebu imagine una 150M na unevunjiwa nyumba. Ujenge nyumba mpya labda 60M hivi na makorokocho ya ndani 75M kuna hela tena humo?

Hapo bado kuna mke na mtoto wa kum support haya kingine akakosa ubunge term iliofata. Nilipoona mkewe kaanza tu kuwa MC nilihisi tayari kuna tatizo kwenye ile familia.

Kwa stage ya maisha aliyofikia hakuwa mtu wa kuunga show au kutafta kazi ya utangazaji. Let the nigga fight for his life jamani tum support sababu mitihani ni sehemu ya maisha hakuna mtihani mgumu kama kuumwa. Mungu amjalie afya aweze kuendelea ku support familia yake tuache kiburi cha uzima na mabezo.

Ipo siku na sisi tutapitia kuumwa tu wala sio swala la kumbeza mtu na kumkejeli. We would all need help in some way.

Hata uwe na million 100 jiulize dialysis kila week ni laki 3 unafikiri ni hela kiasi gani utatumia ukilala kwa week 20 tu? Bado gharama za kitanda kwa VIP daily kulala unaweza pigwa laki au zaidi. Matibabu sio rahisi tuache kiburi cha uzima jamani!

Bima tulizonazo nyingi ni za janja janja inakutibia magojwa ya malaria tu na UTI magonjwa mazito inakuacha upambane na hali yako nyie acheni tu!
Watu ni rahisi sana kujaji mtu, hata kama hawajuwi kinachoendelea
 
Aisee Tusiokuwa nacho tuna rohi mbaya sana,kuna watu tukifanyiwa tathmini mioyoni mwetu basi sababu ya kutokubarikiwa itafahamika dhahiri.Umasikini ni mbaya sanaa
Usishangar mkuu..

Umasikini huleta wivu mbaya , wivu mbaya huleta chuki.. na ndio hizi zinajidhiirisha..
 
Wasanii wakubwa wengi wakiwa kwenye pick maringo na nyodo, wakiumwa au kufulia wanakuwa wema na kutaka huruma za mungu.
Prof au, Unamzunguzmia msanii yupi, au umwajumuisha wote?
 
Alikuwa shareholder mkubwa CMG, alikuwa anamiliki Prime Time Promotion, Alikuwa mmiliki wa Escape One and Two, mmiliki wa THT alikuwa mmoja wa wamiliki wa kampuni ya Tatumzuka. Alikuwa mratibu wa matamasha makubwa karibu yote nchini kupitia Primetime Promotion. Alikuwa na miradi endelevu akipitia CMG kama Summer Jam nk

Kwa taarifa yako kampuni ya Prime Time Promotion wana vifaa vya sound kubwa ya kuburudisha watu zaidi ya elfu kumi kwa wakati mmoja ambavyo zipo seti tatu. Ndio zilizokuwa zinakodishwa kampeni za CCM za Urais na kwenye matamasha makubwa
Duuuuh
 
Mungu amsaidie sana Prof Jay, kwa kweli kuuguza mtu ni kazi kubwa sana, inahitaji moyo wa huruma na uvumilivu was hali ya juu sana. Tuzidi kumuombea apone, lakini wenye uwezo wa kuchangia kidogo matibabu wakifanya hivyo ni vema sana..

Swali tu najiuliza, pamoja na yote je jamaa hakuwa na BIMA ya afya. Kwa nafasi na uwezo alionao, BIMA ya afya NHIF package kubwa kabisa ni 1.9m hivi, hata figo ina cover..

Anyway, lipo la kujifunza hapa..get well soon brother!!
Boss hata ukilazwa mwaka mzima bima ina cover? Na hivyo vipimo vyote kwa huo muda wote? I thought zina ukomo
 
GET WELL SOON THE HEAVYWEIGHT MC WAMITULINGA MTI MKAVU The ICON NA MWENYEZI MUNGU AKUPONYE UPONE HARAKA
 
Anaumwa nini huyu jamaa? Posts nyingi lakini hazitaji anaugua ugonjwa gani
 
Wangapi wanaugua figo na wanatembeza bakuli kwenye vyombo vya habari,wangapi wana wagonjwa mahututi wanatembeza bakuli,kuwa superstar hakufanyi wewe upendelewe zaidi ya wengine, nenda Muhimbili ndio utaona kila mtu anabeba msalaba wake kimya kimya, tunapokuwa na pesa tujue pia kuna kesho,nilichoandika sio roho mbaya bali ni kutuasa sisi sote, nadhani sote tunamkumbuka mzee Majuto pamoja na mikataba yote na hela nae ikawa hivi hivi, najiuliza ni kwanini bakuli liwe kwa watu maarufu tu tena wenye pesa na isiwe bakuli kwa malofa wenzetu ambao wapo hoi bin taabani mahosipitalini? mbona hatujifunzi?
Wewe utamchangia lofa usiemjua? Au ndio mtaishia kumkejeli tu! Hao watu maarufu wana advantage ya kuwa maarufu so misaada ni easy
 
Back
Top Bottom