Ila mumewe nae mvumilivu...wako bussy kwenye maduka ... kiukweli anatisha
ndiyo yale mahaba nitoe rohoIla mumewe nae mvumilivu...
Hiyo mudude huwa inanukaga
Ukishakuwa mweupe then nini kinafuata? unakuwa ni zaidi ya binadamu? au unakuwa umeingia ligi na muumbaji?View attachment 395404
Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.
Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe
TFDA mpo wapi?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kweli, ongeza CHURA mumy... sisi wanaume mjini ugonjwa wetu chura... churaa huyoo jamani churaaa... churaaaa..
Ukiwa huna churaaa hutapata soko au hata kuolewa mjini ni kazi... nenepesha chura sana na ujue kuitumia kwa yule atakaye kuoa...
Alafuuu nikupe siri, ukitaka chura anenepe haraka kula sana nazi kwa dagaa, nazi kwa mboga mboga, pia usisahau kula supu kidogo kwa chapati...
Chura atakuwa anaruka ruka tu, ata ukiwa unakaa au kutembea kidogo sana chura anarukaaa sanaaa
Mjini msingi churaaa.. tunenepesheee.. kisha ni pm
Iyobo na aunt Ezekiel nawakubali sana.Wameprint mtoto wao rangi ile Ile.Huyo mama minilikuwa najua ni shombe shombe kumbe ni mkorogo,hivi huwa wanapaka au wanakunywa mbaka wanakuwa hivyo?View attachment 395496
tena weny harufuHuo weupe kama karatasi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
hahaha umeniacha hoi hapo chini.. ila umekua mkweli mwayamimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
Njoo tufanye mazoezi huku kwetu...wiki tu, chura anafumuka wa Wema mdogomimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
ahahaa wapi shogaa? yule chura wa wema sijui wa mitishamba gani mbona huwa anahamahama sana atulii? mara umkute miguuni kadhuka mara upande mara ana mabonde .yule sio chura wa kihansi kweli?Njoo tufanye mazoezi huku kwetu...wiki tu, chura anafumuka wa Wema mdogo
Duh!Kwani ana wapaka kwa lazima, acha wababuke waoze kabisa kwa ujinga wao
Tena ukikuta mwanamke aliejichubua hua wana sehemu za siri mbaya yani kwengine kuna badilika rangi kuna kua kweupe ila sasa chini kuharibika katikati ya mapaja anakua mbaya ukijani uliochanganyika na weusi mbayaa
Yule atakuwa chura wa mvua za Vuli.ahahaa wapi shogaa? yule chura wa wema sijui wa mitishamba gani mbona huwa anahamahama sana atulii? mara umkute miguuni kadhuka mara upande mara ana mabonde .yule sio chura wa kihansi kweli?