Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Duh! yani watu kama hao baada ya miaka 40 mpaka 45 hizo ngozi zao zinakuwa kama za chura kama sio kenge wanatisha, final uzeeeni, watakongoroka ngozi, kwanza hapo alipo ameshafikia hatua mbaya sana, sijui nani amewadanganya uzuri ni kujichubua...NADHANI HAWA NAO NI WA KUKAMATWA PIA, WAKITIHIBITIKA WANAUZA VITU VISIVYO ELEWEKA.
 
Hao wanaonunua n watu wazima wanajua baya na zuri na hawaladhimishwi mm siwez kununua mkorogo najua madhara yake kwahyo tuwaache wavune wanachopanda
 
View attachment 395404

Ukweli huyo mdada mke wa said fella anatuharibia wadada, kwa maana yeye ndiyo Muuza mikorogo wazi wazi tena mikorogo ya kila aina.

Anayo mpaka ya wiki unakuwa mweupe

TFDA mpo wapi?
Ukishakuwa mweupe then nini kinafuata? unakuwa ni zaidi ya binadamu? au unakuwa umeingia ligi na muumbaji?
 
Kweli, ongeza CHURA mumy... sisi wanaume mjini ugonjwa wetu chura... churaa huyoo jamani churaaa... churaaaa..

Ukiwa huna churaaa hutapata soko au hata kuolewa mjini ni kazi... nenepesha chura sana na ujue kuitumia kwa yule atakaye kuoa...

Alafuuu nikupe siri, ukitaka chura anenepe haraka kula sana nazi kwa dagaa, nazi kwa mboga mboga, pia usisahau kula supu kidogo kwa chapati...

Chura atakuwa anaruka ruka tu, ata ukiwa unakaa au kutembea kidogo sana chura anarukaaa sanaaa

Mjini msingi churaaa.. tunenepesheee.. kisha ni pm
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG]...

Una chura wewee..? ha haaa... wengine wakihangaika kutafuta uso mweupe ww usijali ww tengeneza na nenepesha CHURA.. ndio habari ya mjini... uso baadae...
 
anaendana na biashara yake na yeye yumo uzungu noma sana.
 
mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
hahaha umeniacha hoi hapo chini.. ila umekua mkweli mwaya
 
mimi siamini kipodozi chochote hapa bongo
ndo maana natengeneza mafuta yangu ya nazi kila week najipaka
unakuta mtu kachanika sijui michirizi utadhani nyoka mjane wa miaka mia
bora nionekane mshamba
natamani kuongeza chura wangu kidogo maana huku mjini msingi chura ila nitafanya tu mazoezi
Njoo tufanye mazoezi huku kwetu...wiki tu, chura anafumuka wa Wema mdogo
 
Njoo tufanye mazoezi huku kwetu...wiki tu, chura anafumuka wa Wema mdogo
ahahaa wapi shogaa? yule chura wa wema sijui wa mitishamba gani mbona huwa anahamahama sana atulii? mara umkute miguuni kadhuka mara upande mara ana mabonde .yule sio chura wa kihansi kweli?
 
TFDA wasijielekeze kwenye vipodozi vinavyotokanje tuu !! sasa waanze na hawa wanaojiita wajasiriamali yawezekana wanajichanganyia kemikali hatari na kujifanya ni "NATURAL" VYA HAPA HAPA.
 
Kwani ana wapaka kwa lazima, acha wababuke waoze kabisa kwa ujinga wao

Tena ukikuta mwanamke aliejichubua hua wana sehemu za siri mbaya yani kwengine kuna badilika rangi kuna kua kweupe ila sasa chini kuharibika katikati ya mapaja anakua mbaya ukijani uliochanganyika na weusi mbayaa
Duh!
Una hasira nao.
Pole sana.
ila vyanzo na visa vingi vya wanawake kujichubua nadhani ni wanaume.

Ila mie kwa uchunguzi wangu, naona wanawake wa mitaa ya fujo ie Mbagala, Manzese, Tandika, Tandale ndo wanaongoza.
Ila ni nadra sana kwa mwanamke wa Masaki au Oysterbay au huku Masaiti kumkuta amejichubua.
Huwa mpaka leo bado sijapata jibu
 
ahahaa wapi shogaa? yule chura wa wema sijui wa mitishamba gani mbona huwa anahamahama sana atulii? mara umkute miguuni kadhuka mara upande mara ana mabonde .yule sio chura wa kihansi kweli?
Yule atakuwa chura wa mvua za Vuli.
Kuna dada mmoja alisema kuwa aliwahi kumbinya Wema makalio...makalio yalibonyea.
Ila Muna chura wake wa godoro la Comfy.
Chura leo yuko tako hili, kesho tako lile
 
Back
Top Bottom