Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
mimi ndio maana penda wewe hutumii mkorogoye alivyo tu anatisha sasa wewe mdada unaenda kununua hiyo kitu kwake akili yako haina akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi ndio maana penda wewe hutumii mkorogoye alivyo tu anatisha sasa wewe mdada unaenda kununua hiyo kitu kwake akili yako haina akili
hivi ana kioo huyu?
Wanavyo....basi tu.ona balaa hilo..
Uyo mwanaume anaemshawishi hivyo mkewe hanaakili, akijulikana afungwe hata jela kabisa..Kabisa.
Mwanamke anayejichubua kwanza ananuka akipigwa na jua.
Au usiombe upande nae haya magari madogo halafu mfunge vioo, muwashe AC...harufu.
Mie nina uzoefu na hawa wanawake wanaojichuna.
Wengine tuliowahoji wanakiri kuwa waume na wapenzi wao waliwashawishi
Mwengine mkewe mweusi, mchepuko mweupe.Uyo mwanaume anaemshawishi hivyo mkewe hanaakili, akijulikana afungwe hata jela kabisa..
Ni kumtafutia mtu kansa huko...
nipende zaidi mkuumimi ndio maana penda wewe hutumii mkorogo
hivi vinatengenezwa hapa hapa mjiniIvyo vitu vinapitia wapi kila sehemu kuna ulinzi na sasaivi Mh Rais kaimalisha Tanzania yetu labda ivyo viliingia kabla ya uhongozi wake !
akishakuwa mweupe anagndua mume anamchepuko mweusi hapo sasaMwengine mkewe mweusi, mchepuko mweupe.
Basi mke nae anaamua ajichubue ili kuepuka mume kwenda nje
natafuta foundation nzuri dear hivi zile manjano ni natural?Wanavyo....basi tu.
Afu ukute hajui kupaka na makeup yenyewe basi.
Utamkimbia
Mwanaume kuchepuka na kuhangaika ni kama tabia ya asili ipo tu...Mwengine mkewe mweusi, mchepuko mweupe.
Basi mke nae anaamua ajichubue ili kuepuka mume kwenda nje
Hapo sasa ndo atakapojua kuwa kwanini wanasema mwanaume hatabiriki.akishakuwa mweupe anagndua mume anamchepuko mweusi hapo sasa
sema nimeota umechukua namba hapo uanze kuwa mzungu usithubutuuuunipende zaidi mkuu
we navyo penda karangi kangu siwezi aiseesema nimeota umechukua namba hapo uanze kuwa mzungu usithubutuuuu
noma sanaHapo sasa ndo atakapojua kuwa kwanini wanasema mwanaume hatabiriki.
Aisee....mikorogo noma
Manjano labda uende mwenyewe pale kwa Luvtouch.natafuta foundation nzuri dear hivi zile manjano ni natural?