Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Kabisa.
Mwanamke anayejichubua kwanza ananuka akipigwa na jua.
Au usiombe upande nae haya magari madogo halafu mfunge vioo, muwashe AC...harufu.
Mie nina uzoefu na hawa wanawake wanaojichuna.
Wengine tuliowahoji wanakiri kuwa waume na wapenzi wao waliwashawishi
Uyo mwanaume anaemshawishi hivyo mkewe hanaakili, akijulikana afungwe hata jela kabisa..

Ni kumtafutia mtu kansa huko...
 
Uyo mwanaume anaemshawishi hivyo mkewe hanaakili, akijulikana afungwe hata jela kabisa..

Ni kumtafutia mtu kansa huko...
Mwengine mkewe mweusi, mchepuko mweupe.
Basi mke nae anaamua ajichubue ili kuepuka mume kwenda nje
 
Ivyo vitu vinapitia wapi kila sehemu kuna ulinzi na sasaivi Mh Rais kaimalisha Tanzania yetu labda ivyo viliingia kabla ya uhongozi wake !
 
Ivyo vitu vinapitia wapi kila sehemu kuna ulinzi na sasaivi Mh Rais kaimalisha Tanzania yetu labda ivyo viliingia kabla ya uhongozi wake !
hivi vinatengenezwa hapa hapa mjini
maji ya betri
jiki
mavi ya mbuzi
carolite
quinine etc
 
Licha ya mkorogo kuwa hatari kwa ngozi wanaume wengi tunaojiheshimu hatuitaki mikorogo.
 
Screenshot_2016-09-07-12-16-14-1.png
Hapo ni full mikorogo.
 
Mwengine mkewe mweusi, mchepuko mweupe.
Basi mke nae anaamua ajichubue ili kuepuka mume kwenda nje
Mwanaume kuchepuka na kuhangaika ni kama tabia ya asili ipo tu...
Ukiona mtu kaoa mweusi halafu anachepuka na mweupe jua tu anajua kila kitu kuhusu ubaya wa mikorogo vile tu tamaa za hapa na pale

Hivi unampeleka vipi mwanamke alijichubua nyumbani, wazazi huyu ndo nimempenda. ndo hii sasa Mama anakuchana mwanangu mwanamke gani umeniletea unamuona mbaya
 
Wanawake ce bwana Mungu tu atusaidie
Mtu kawa kama kitimoto unaenda nunua mkorogo ili iweje
Wacha nibaki na weusi wangu tu
 
Kwanza kabisa hata ikizuiwa watajichubua tuuu..... Wanawake ni viumbe was ajabu sana alaf mwisho was Siku wana lalamika cancer Mungu awasaidie
 
natafuta foundation nzuri dear hivi zile manjano ni natural?
Manjano labda uende mwenyewe pale kwa Luvtouch.
Ila ukinunua ununue set ndio utafaidi.
Set huwa inajumuisha Mafuta, foundation na sabuni.
Hizi za maduka ya mawakala mie huwa samtain siwaamini.
Mimi huwa ni mtumiaji wa bidhaa za Sleek.
Na kijingozi changu hiki cha chungu.....akhaaa
Nateleza tu.
 
Back
Top Bottom