Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Manjano labda uende mwenyewe pale kwa Luvtouch.
Ila ukinunua ununue set ndio utafaidi.
Set huwa inajumuisha Mafuta, foundation na sabuni.
Hizi za maduka ya mawakala mie huwa samtain siwaamini.
Mimi huwa ni mtumiaji wa bidhaa za Sleek.
Na kijingozi changu hiki cha chungu.....akhaaa
Nateleza tu.
shukrani
kuna duka flani la vipodozi kinondoni linaitwa jacks cosmetics unalijua? anauza lotion ya cocoa butter laki sita
yaani kasabuni tu ka kuogea elf 60
unalifahamu kwanza maana kidogo nizimie pale
 
Mwanaume kuchepuka na kuhangaika ni kama tabia ya asili ipo tu...
Ukiona mtu kaoa mweusi halafu anachepuka na mweupe jua tu anajua kila kitu kuhusu ubaya wa mikorogo vile tu tamaa za hapa na pale

Hivi unampeleka vipi mwanamke alijichubua nyumbani, wazazi huyu ndo nimempenda. ndo hii sasa Mama anakuchana mwanangu mwanamke gani umeniletea unamuona mbaya
Asa ndo kama akina Wema.
Enzi yuko na Jumbe, Jumbe akachepuka na yule mdada mwenye tako.
hapo ndo mori ya Wema ilipopanda.
Matokeo yake....tako moja juu moja chini.

Hata hivo bado sijapata mantiki.
Kwanini wanawake wa uswazi ndo wanaongoza kwa kujichubua?
 
hivi vinatengenezwa hapa hapa mjini
maji ya betri
jiki
mavi ya mbuzi
carolite
quinine etc

Mh kudadadek kama kuna viwanda vya haina iyo bas wawasaidie wakulima wa nyanya maana wanateseka na nyanya zao sasa kama wanaweza kuzalisha vitu ivyo watengeneze na viwanda vidogovidogo vya tomato ambayo wataweza kuuza kwa mda mrefu bila kupata hasara au vp ndg !
 
Hao wana wake wenyewe wa TFDA pia wanatumia vitaulo ( mkorogo)
 
shukrani
kuna duka flani la vipodozi kinondoni linaitwa jacks cosmetics unalijua? anauza lotion ya cocoa butter laki sita
yaani kasabuni tu ka kuogea elf 60
unalifahamu kwanza maana kidogo nizimie pale
Sio pale Manyanya karibu na dula la Zamaradi?
Kama ndo yule mshenzi ana bei, wasanii na wadada wa mjini ndo wateja wake.
Ila kama pesa ipo, jipinde mwaya.
Mie duka langu la hivi vipodozi vya asili huwa naenda pale Samiratha.
Na hata nikinunua najua nakaa nayo muda mrefu.
Halafu jambo lingine usipende kuhamahama maduka.
Waweza enda sehemu ukakuta lotion hiyohiyo inauzwa laki na huku ikauzwa elfu thelethini
 
Sio pale Manyanya karibu na dula la Zamaradi?
Kama ndo yule mshenzi ana bei, wasanii na wadada wa mjini ndo wateja wake.
Ila kama pesa ipo, jipinde mwaya.
Mie duka langu la hivi vipodozi vya asili huwa naenda pale Samiratha.
Na hata nikinunua najua nakaa nayo muda mrefu.
Halafu jambo lingine usipende kuhamahama maduka.
Waweza enda sehemu ukakuta lotion hiyohiyo inauzwa laki na huku ikauzwa elfu thelethini
hyo huyo
kuna boss wangu aliniambia nimsindikize mweee maweee yaani kidogo nizimie
lipshine ya buku moja anauza elf 35
kwani vitu vyake anatoa wapi?
 
Sio pale Manyanya karibu na dula la Zamaradi?
Kama ndo yule mshenzi ana bei, wasanii na wadada wa mjini ndo wateja wake.
Ila kama pesa ipo, jipinde mwaya.
Mie duka langu la hivi vipodozi vya asili huwa naenda pale Samiratha.
Na hata nikinunua najua nakaa nayo muda mrefu.
Halafu jambo lingine usipende kuhamahama maduka.
Waweza enda sehemu ukakuta lotion hiyohiyo inauzwa laki na huku ikauzwa elfu thelethini
by the way hivi zoazoa za grace ziliishia wapi?ahahaaa mimi madam natengeneza mafuta yaangu ya nazi kila week najipaka kwa raha zangu sitaki michirizi mie
 
kwa wanaume na wenyewe inaruhusiwa kukukoboa..!!?
nauliza tu
 
Kikubwa ni kuwa na ngozi nyororo yenye afya haijalish rangi.

But anyway puss.y is just a Pu.ssy mi huwanga zote namanga
 
Mpe mtu ile roho yake inataka mradi hamumizi mtu wala hamshurutishi mtu!
 
hyo huyo
kuna boss wangu aliniambia nimsindikize mweee maweee yaani kidogo nizimie
lipshine ya buku moja anauza elf 35
kwani vitu vyake anatoa wapi?
by the way hivi zoazoa za grace ziliishia wapi?ahahaaa mimi madam natengeneza mafuta yaangu ya nazi kila week najipaka kwa raha zangu sitaki michirizi mie
Anasemaga vya Uk.
Akwende zake.
Zoa zoa Buguruni zimejaa kibao.
Kula soko la samaki.
Mie kwa kweli hajanishawishi kununua pale.

Na wanaonunua wanazo
 
Mme wake ni kiongozi!ni diwani. Hawezi kukemea mtu yoyote anayefanya biashara hizo coz kuna maslahi labda wafe watu.
 
Back
Top Bottom