Mke wa Said Fella unatuharibia wadada hapa mjini

Naomba hiyo elimu ya kutengeneza mafuta ya kupaka, kwa matumizi ya me na ke.
 
Mh kwani mmelazimishwa kujikoboa, c madem wenyewe mmeipenda, yani ukilazaeer umewajaa tuu, acha atumie opportunity kwa vilazaer
Mh kwani mmelazimishwa kujikoboa, c madem wenyewe mmeipenda, yani ukilazaeer umewajaa tuu, acha atumie opportunity kwa vilazaer
eh kwni lazima ununue... Umelazimishwa en ujichubue ili acha achukue ela za bure... Tamaa ndo znawponza hata TFDA imeon ni ujinga wa wadada wenyew ndmn wpo kimya
 
Anasemaga vya Uk.
Akwende zake.
Zoa zoa Buguruni zimejaa kibao.
Kula soko la samaki.
Mie kwa kweli hajanishawishi kununua pale.

Na wanaonunua wanazo
uk ? mbona anauza hadi carolite?
carolite ni ya kwa malkia?
 
Muda mngine shule inasaidia, wa huku uswazi c unajua tena elimu zetu za chini ya mpera
 
Hana kosa huyo,,hao wanaoenda kununua ndio wajinga,,,maana ni watu wazima wanajitambua,,,Mke wa wajina amekamata Fursa muacheni apige hela
 
Huyo alivyo jichubua ukikaa nae karibu huwa wanatoa harufu flani kama mzoga! TFDA sijui wanafanya kazi gani, Bidhaa za Tanzania huwa zinaingia nchini zikiwa na nembo ya tbs kabisa!!
Aisee umeongea ukweli mtupu
 
[HASHTAG]#shunie[/HASHTAG]...

Una chura wewee..? ha haaa... wengine wakihangaika kutafuta uso mweupe ww usijali ww tengeneza na nenepesha CHURA.. ndio habari ya mjini... uso baadae...
Chura wangu ananitosha na mwili wangu kipotabo na weupe ninao [emoji28][emoji28]
 
ye alivyo tu anatisha sasa wewe mdada unaenda kununua hiyo kitu kwake akili yako haina akili
hahah...mambo vip shost! za masiku?
fyi huyu wala sio ndo rangi yake live ni ma effect ya camera nilimuona enzi akiwa na salun pale kinondoni mkwajuni ni ana weupe wa kawaida tu..naona anatia maeffects ya picha kuvutia soko lake.
 
Yule atakuwa chura wa mvua za Vuli.
Kuna dada mmoja alisema kuwa aliwahi kumbinya Wema makalio...makalio yalibonyea.
Ila Muna chura wake wa godoro la Comfy.
Chura leo yuko tako hili, kesho tako lile
Muna anavaa chupi za vigodoro [emoji28][emoji28]
 
hahah...mambo vip shost! za masiku?
fyi huyu wala sio ndo rangi yake live ni ma effect ya camera nilimuona enzi akiwa na salun pale kinondoni mkwajuni ni ana weupe wa kawaida tu..naona anatia maeffects ya picha kuvutia soko lake.
pouwa mamy.. kwa hiyo anadanganya wadada wa dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…