Mzee Baba kumbe tunakuchukulia poa tu. Chumvi umekula ya kutosha. Hongera sanaNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Mungu hapangiwi, wacha mvunaji aweke mazao apendapoSaguda47 mtu wangu inakuwaje
Rest in peace mama yetu Mrs Salim
Inna lillahi wa inna illaih rajiuunLala salama mama Amne
Na umri alionao hiki kitakua kipindi kigumu sana kwa Mh Salim Ahmed Salim na familia, Mungu awape imani
Basi we age imeendaaNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Pohamba shikamooNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Acha udanganyifu mkuu!Saguda47 mtu wangu inakuwaje
Rest in peace mama yetu Mrs Salim
Bi Amne Rifai Salim
Acha bangi za asubuhi wewe. Hesabu mpaka kumi, kunywa maji glass nzima, tulia, Soma Tena ndio uko ment. Usikurupuke.Rip mke wa salmin...
Ova
Class mate wako?Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Mwenye picha yake tafadhali
Sad indeed. Pumzika kwa amani mama yetuKwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Kumbe wewe ni kijana sana.Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana