Poleni sanaNimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
RIP mama mzalendoKwa mshutuko mkubwa nimepokea habari ya kuondokewa na Bi Amne Rifai Salim, Mkewe na Mh Salim Ahmed Salim. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Hivi Salim ana watoto? Sijawahi sikia..... RIP mama Amne.Apumzike kwa amani mama Amne.
Pole kwa familia na wewe kuondokewa na mate (shikamoo)Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Watoto watatu, Maryam, Ali na Ahmed. Mmoja ni Dr of medicine.Hivi Salim ana watoto? Sijawahi sikia..... RIP mama Amne.
Kumbe we Muhenga.Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Shikamoo babu Pohamba, sikujua una umri huu.Nimepoteza Class mate wangu, Forodhani Secondary School!
Nyumbani kwao palikuwa maeneo ya kisutu karibu na ilipo City mall
Pole sana Dr Salim, Allah ampe tahfeef, kuondolewa na Mke Mlezi ukiwa taaban kitandan ni mtihan Mkubwa sana sana
Dini za watu muziachage jmn heeInna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiiuun.
Watoto wa Kinana ushawahi kuwaskia?Hivi Salim ana watoto? Sijawahi sikia..... RIP mama Amne.
Pumzika mama... Tuwekeeni picha za ujana wao
Jaji, Marehemu alikuwa Aunt wa Fatme Karume ?, tufafanulie Mkuupole ila Sijui kwanini huwa hamtangai watu wakiwa hai, kama ni wa kupongezwa ama kulalamikiwa iwe hivyo ila mnatutangaia marehemu?
okay pole bi fatma karume kwa kufiwa na aunti,
Unajua kuna prominent figures ambazo habari zao ni HOT NEWS!Watoto wa Kinana ushawahi kuwaskia?
Kuna watu uwekezaji kwa watoto wao umefanikiwa nje ya ulingo wa Siasa na kandarasi hewa za kiserikali
Mzee Baba kumbe tunakuchukulia poa tu. Chumvi umekula ya kutosha. Hongera sana