Mke wa x wangu


Hapo kimchepuko kam mie lazima kihusike kiaina
 
hapo chacha sifi mimi mmbishi mpaka mwisho atahama ndani aniache

Hahahaha we noma kun ndugu yang mmoja ana misimamo km wewe kakomaa mbna mume alihama akaacha kila kitu naw huy bidada ananenepa tu namwanaye
 
Hahahaha we noma kun ndugu yang mmoja ana misimamo km wewe kakomaa mbna mume alihama akaacha kila kitu naw huy bidada ananenepa tu namwanaye

mpe big up huyo dada ufe kwa sababu ya watotot na si mume anayejielea kaamua kutembeza dudud huku afu mimi nijipe stress aku mie...
 
Hapo kimchepuko kam mie lazima kihusike kiaina

husika tu hapo kiukweli natafuta hela ili wanangu waishi kwa raha kama mwanaume ameamua kuchepuka aende nitamuuliza baba fulani huyo mchepuko wako nikiwa kaburini ataweza lea wenetu kama hapana baba naomba space ya kukuza wanangu huku ukiendelea kuchepuka vizuri hela ya matumizi ya mtoto weka hapo mi naweza jihudumia baba haya baba vaa sketi sahahu boxer nenda...
 
Hakuna mwanaume wa peke ako watu tunashindwaga tu kukubali ukweli, Maji kayavulia nguo ayaoge kwani hakuyaona hayo kabla ya ndoa????? ndo wake huyo amuombee Mungu ambadilishe.
 
Hakuna mwanaume wa peke ako watu tunashindwaga tu kukubali ukweli, Maji kayavulia nguo ayaoge kwani hakuyaona hayo kabla ya ndoa????? ndo wake huyo amuombee Mungu ambadilishe.

eti anajidanganya yupo pekee .. hajui kuwa katika kumi yeye ndo kaonekana bora na ndo anaweza mfia that all,,, na haina maana eti ndo achepuki ni kufanya ya msingi kama mama basi inatosha fyoko fyoko za nini na simu ya mueo kalala unayo kaenda kuoga unayo alafu iweje ujinga huo mimi sipendi... ukishajua anachepuka alafu ufanyaje? mpe makavu kuwa nakuamini asilimia 20 kwa hiyo ila baada ya miezi mitatu tucheki afya that all
 
Hakuna mwanaume wa peke ako watu tunashindwaga tu kukubali ukweli, Maji kayavulia nguo ayaoge kwani hakuyaona hayo kabla ya ndoa????? ndo wake huyo amuombee Mungu ambadilishe.

Nafkiro ndiyo ipo vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…