atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bora nyumbani huwazi sana usiku ukirudi unamkuta, huyo wa semina sasa.!!
Halafu simu iwe haipatikani akwambie chaji imeisha na ukiangalia nchi ipo kwenye mgao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watu wafia dini hawataki kushughulisha akili zaoHoja anayo. Wewe ndie huna hoja maana umetaja fiction characters tupu. Ambao hakuna evidence kuthibitisha kama kweli wamewai kuwepo duniani.. nje ya kuandikwa kwenye vitabu vya dini.
Ila kuna newton kuna evidence nyingi zinazothibitisha kwamba ni kweli wamewai kuwepo duniani. Na hata makaburi yao yapo. Records zao za kazi walizozifanya duniani zipo zimenyooka
Ku×××××e unapiga kwenye utosi tuuuMwanaume mwingine anampangia mambo na anapanga kusafiri naye na mume hamna kitu atafanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa ana mawazo ya kipimbi kweli, si bora aliwe na boss kuliko kuliwa na bodaboda.
Wasafiri tu hata waende nchi za nje mke wangu we nenda hata mwezi, ili mradi kazi ifanyike
Umeandika jambo la maana sana.Kuajiriwa ni sawa na kuolewa, inakuwa ni kutii maelekezo, kama huwezi unapigwa chini. Kwa mtu anayejielewa ataajiriwa kwa kipindi fulani, baada ya kipindi hicho kupita atafanya yake.
Kwa hiyo, kama unataka hii changamoto isikutese, jitahidi ujiajiri wewe na mwenzako.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Kuajiriwa ni sawa na kuolewa, inakuwa ni kutii maelekezo, kama huwezi unapigwa chini. Kwa mtu anayejielewa ataajiriwa kwa kipindi fulani, baada ya kipindi hicho kupita atafanya yake.
Kwa hiyo, kama unataka hii changamoto isikutese, jitahidi ujiajiri wewe na mwenzako.
Kikubwa uhai tu Mtemi.😀😀😀Tulia mkuu, wakwako atakuwa salama.