Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?

Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?

MKE wangu haijui saloon Wala hawatambui waosha kucha....YEYE NI RAS NA NINAMSOKOTA NA KUMDREAD MWENYEWE...LABDA WAMPATE HUKOOOO KAZINI

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Mkeo huwa anaoshwa miguu kisha kukaushwa na wataalamu wa kusafisha kucha?

Hii huduma imekuwa maarufu sana kwa wamama wq mjini, na wengi wao huwa wanapata huduma waume zao wakiwa kazini.

Mdau unasemaje juu ya hii huduma?
Hivi wanawake wenye vijitabia vya kipambavu kama hivi bado mnaishi nao.

Mwanamke mtu mzima hawezi kujisamia usafi wa miguu yake. Upumbavu mtu
 
Kama mimi naenda kwenye massage ya wahindi pale town Tena body to body massage with happy ending

Sioni shida yeye kuoshwa miguu
 
Hivi huyo mwanamke Anae shindwa kujiosha hadi miguu yake ni mwanamke kweli.....? Hivyo vingine Kama mbususu wataosha kweli au ndio full masmeli.

Ninacho amini mwanamke Mwenye majukumu huwezi mkuta huko Ila Hawa wadangaji ndio wamelundikana huko.

Kama mnavyo jua kuna wanawake chanzo cha nyege zao ni miguuni sasa unategemea nini watakapo anzana kuoshana miguu huko waliko jifungia......?


Wanaume hebu tuwe tunakauli Basi katika familia... Sio kila uozo ni wa kuufumbia macho na kulialia.

Kuna muda mwingine tunaziona familiar ni chungu kwa uzembe wetu wenyewe.
 
Mkeo huwa anaoshwa miguu kisha kukaushwa na wataalamu wa kusafisha kucha?

Hii huduma imekuwa maarufu sana kwa wamama wa mjini, na wengi wao huwa wanapata huduma waume zao wakiwa kazini.

Mdau unasemaje juu ya hii huduma?

Mke wa mtu mwenye kujiheshimu hawezi kwenda kuonshwa miguu ,

Kuoshwa miguu ni dalili ya wazi ya kuvaa nguo fupi kimini lengo lake ni kuonyesha mguu wa watu kupata soko hivyo ni dalili za umalaya na sio kabisa katika kundi la urembo
 
Hizo ndio Faida za kuoa mwanamke asijielewa yani mtu kwa akilizako unashidwa kuosha miguu yako ambayo tangu umezaliwa unayo. tena somo lenyewe la jinsi ya kuosha miguu na kupaka rangi unajifunza hata siku mbili haishi umeelewa.kwa mlioa wanawake wasiojiongeza mnatabu sana, binafsi mlioa siwashauli muanze kujifunza kuosha na kupaka rangi miguu bali muwafanye wake zenu waanze Kujielewe na kujitambua. kumbukeni ''KINGA NI BORA KULIKO TIBA'' haya leo unamuosha miguu kwa vile hupo nyumbani....haya je, siku umesafili kikazi nani atamwosha?....... 🏃😎
 
Waosha miguu oyeee......


Yaani wanaanza vizuri vere purofesheno...kusugua miguu...kucha...kuzikata...


Halafu taratiiiibu anaanza kutafuta angle yako.....

Atamasage nyayo.....

Atapandq mpaka kwenye kifundo huku anakuchora kwa chaaati

Atamasage supu zote na ugoko.....huku anakuzooo.

Kisha atakuwa anapita pita mpaka mwanzo wa mapaja........

Kwisha habari yake......... yaani mpaka hapo anajua wapi panamkoleza mteja wake.....
 
Back
Top Bottom