Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?

Mke wako huwa anaoshwa miguu na kijana wake wa kutengeneza kucha?

Mimi kuna siku nilikuwa na wife tukapita sehemu wanapooshwa na kupakwa rangi miguu. Wife akaanza kucheka, nikamuuliza "na wewe unataka ukaoshwe" huku nikiendelea kumtania unapitwa mambo mazuri, alikataa maana anajua nisingekubali hata kama angekubali kwa utani.

Mke wangu akitaka kurembwa nitamruhusu arembwe na mwanamke mwenzie tu, tena urembo pekee ambao Dini inauruhusu.
 
Mimi kuna siku nilikuwa na wife tukapita sehemu wanapooshwa na kupakwa rangi miguu. Wife akaanza kucheka, nikamuuliza "na wewe unataka ukaoshwe" huku nikiendelea kumtania unapitwa mambo mazuri, alikataa maana anajua nisingekubali hata kama angekubali kwa utani.

Mke wangu akitaka kurembwa nitamruhusu arembwe na mwanamke mwenzie tu, tena urembo pekee ambao Dini inauruhusu.
Dunia imebadirika sana sahv ata wanawake wenzie sio wakuamini 100%
 
Ukichezea nyayo za miguu za mwanamke vizuri anachanganyikiwa..hawa waosha miguu wanawalowanisha panty sana hawa kinadada i guess.

Siwezi kuruhusu huu ujinga kabisa..mwanamke asiyeweza kuosha miguu mwenyewe ikangaa huyo sio wa kuoa.
 
Mkikataza wake zenu waoshwe miguu mjue nyuma yake kuna mtu anaitegemeza familia yake na jamii yake kwa hiyo kazi. Muhimu ni professionalism kwenye kila jambo.Tuache mawazo potofu. Mke au mume akijitambua sio tatizo kuoshwa miguu.
Asilimia kubwa wanaosha miguu ya wake za watu Wana wala, HILO NDILO TATIZO.

#YNWA
 
Oyaaa, kuna wanawake wamekua wameyakuta hayo maisha ndan ya familia .

Suluhisho.

Mwanaume nenda kwa hao wapaka rangi na Waosha miguu.., akuelekeze ,ukanunue mazaga mazaga yaan mavifaa yao.

Alafu Anza kua unamuosha mkeo miguu angalau mara mbili kwa wiki nakumpaka Rangi, angalau kila wiki mara moja.

Swali ni je, ukiwah kufa na umemzoesha itakuaje?

Jibu nikwamba, kama ni kuliwa, hata ukiwa hai analiwa tu bila shida.

Mwisho...Hamna watu wanaokula papuchi za bureeee kama vijana waosha miguu na kucha.[emoji23]
Na kweli maana hawaishii kuosha na kupaka rangi tu, wanafanya na massage ya miguu kutoka unyayo mpaka juu ya goti. Hapo mwanamke analainikaa, anatoa utelezi.

Baadae mwanamke anamtafuta mpaka rangi...."asante Sana Ila ujue umentia nyege". Mchezo unakua umeisha. Nikikumbuka

KigaKoyo alivyomla kimasihara bosi Rona.....
 
Back
Top Bottom