Hivyi tu!? Mm sahv najifunza had kufanya massage kabsa sitaki upumbavu mmKwakuwa sipendi ujinga niliamua kujifunza hiyo kazi ili niwe naifanya mwenyewe
Dunia imebadirika sana sahv ata wanawake wenzie sio wakuamini 100%Mimi kuna siku nilikuwa na wife tukapita sehemu wanapooshwa na kupakwa rangi miguu. Wife akaanza kucheka, nikamuuliza "na wewe unataka ukaoshwe" huku nikiendelea kumtania unapitwa mambo mazuri, alikataa maana anajua nisingekubali hata kama angekubali kwa utani.
Mke wangu akitaka kurembwa nitamruhusu arembwe na mwanamke mwenzie tu, tena urembo pekee ambao Dini inauruhusu.
hahahahahaha ku mamakeWasiwasi wangu ni ujio wa waosha ku.ma....hayo mengineyo kawaida tu...
Sasa kwani mke anaweza kwenda kufanyiwa masaage na mtu mwingine tofauti na mme wake?Hivyi tu!? Mm sahv najifunza had kufanya massage kabsa sitaki upumbavu mm
Angalau wale kuliko na mwanaume asiyekuwa mume wakeDunia imebadirika sana sahv ata wanawake wenzie sio wakuamini 100%
Mbona wapo.Sasa kwani mke anaweza kwenda kufanyiwa masaage na mtu mwingine tofauti na mme wake?
Naomba unipe tenda ya kukuosha miguu.Kwani waoshaji wenyewe wanasemaje....!??
Na marinda yenu itakuwa mali halali kwa wenye wake zao??.Tunasema hivi "tutaendelea kuwaosha na huduma nyingine tutatoa bure kwa wake zao" au unasemaje mke wa mtu?
Huyo atakuwa sio mke tenaMbona wapo.
Lol😝Naomba unipe tenda ya kukuosha miguu.
Haha eti viraha vidogo kumbe huwa mnaenjoy.Hebu tuacheni hata hivi viraha vidogo vidogo mnataka mtubanie?
Kama mnaweza basi tufanyeni nyie.
Wanafaidi kushikashika pajazKwani waoshaji wenyewe wanasemaje....!??
Asilimia kubwa wanaosha miguu ya wake za watu Wana wala, HILO NDILO TATIZO.Mkikataza wake zenu waoshwe miguu mjue nyuma yake kuna mtu anaitegemeza familia yake na jamii yake kwa hiyo kazi. Muhimu ni professionalism kwenye kila jambo.Tuache mawazo potofu. Mke au mume akijitambua sio tatizo kuoshwa miguu.
Na kweli maana hawaishii kuosha na kupaka rangi tu, wanafanya na massage ya miguu kutoka unyayo mpaka juu ya goti. Hapo mwanamke analainikaa, anatoa utelezi.Oyaaa, kuna wanawake wamekua wameyakuta hayo maisha ndan ya familia .
Suluhisho.
Mwanaume nenda kwa hao wapaka rangi na Waosha miguu.., akuelekeze ,ukanunue mazaga mazaga yaan mavifaa yao.
Alafu Anza kua unamuosha mkeo miguu angalau mara mbili kwa wiki nakumpaka Rangi, angalau kila wiki mara moja.
Swali ni je, ukiwah kufa na umemzoesha itakuaje?
Jibu nikwamba, kama ni kuliwa, hata ukiwa hai analiwa tu bila shida.
Mwisho...Hamna watu wanaokula papuchi za bureeee kama vijana waosha miguu na kucha.[emoji23]