Mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo

Mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo

nyboma

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2021
Posts
2,308
Reaction score
7,366
Siku ukipata matatizo utakuja kufungua huu uzi na kukumbuka haya niliyoandika leo..

Mke, watoto na ndugu wa kuzaliwa ndio ndugu zako, maana hawa wanawake tunaowaita michepeko wapo na wewe muda huu kwa kuwa una hela.

Niwe muwazi kwa hili ukiwa na pesa “You can https://jamii.app/JFUserGuide any woman around you” maana ndio wanachopenda.

Usiku huu nanawisha mikono na maji ya moto na mke wangu wa ndoa, nimejikuta nikikumbuka mikasa mbalimbali na wanawake wa mjini.

Hivyo, nawaasa vijana ambao hawajaoa kabla ya kuuvaa mkenge basi jaribu kumshirikisha Mungu akupe mke mwema maana ulimwengu wa sasa umechafuka.

Kisa kidogo tu nilitembelea kijijini kwetu ma V8 nyeusi, nisiwe mnafiki nilikula mabinti karibu wote kisa gari tu, hivyo huko vijijini pia kumeharibika sana..

Kila la kheri kwa vijana ambao wanataka kuingia kwenye ndoa.
 
[
Na sie wadada wa mjini tuko vizuri, mwanaume ukishakua na kigari tu na unahonga vilaki..... tunafanya kweli.

#ndomaanavichaawenginiwanaume
juzi nimetoka kulala na mwanamke fulani kisa kuona na kazi yangu, na mshahara anataka nimuoe.

Halafu fika anajua na mke na familia yangu, ndio nimegundua anataka anitegeshee nizae nae akasumbue familia.

Ila nimesema NO, namla kwa kondomu hadi vulva zipate usugu..
 
Ukiachana pia na gari vaa smart kaa mtu ako ana kakitu yani utawafunua Sana hawa
 
V8 uitoe wapi wewe pangu pakavu tia mchuzi,[emoji57]
Maskini kwa kujifaraghuaaaa [emoji119]

Endelea tu kubaka watoto, mwenzio kishapigwa miaka 30 huko, jela za kwetu unazijua nadhani ukakutane na kina scopion wakutoboe 'jicho'.
 
Ushauri mzuri sio rahisi kuupata,,,, pia ni Vigumu kuufuata... Hasa kwa Mswahili...

Ambao hatuoi tuna comment wapi.!???
 
V8 uitoe wapi wewe pangu pakavu tia mchuzi,[emoji57]
Maskini kwa kujifaraghuaaaa [emoji119]

Endelea tu kubaka watoto, mwenzio kishapigwa miaka 30 huko, jela za kwetu unazijua nadhani ukakutane na kina scopion wakutoboe 'jicho'.
[emoji3][emoji846][emoji3]
 
Back
Top Bottom