Mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo

Mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo

Na sie wadada wa mjini tuko vizuri, mwanaume ukishakua na kigari tu na unahonga vilaki..... tunafanya kweli.

#ndomaanavichaawenginiwanaume
Fuhh laki usawa huu? Mm mwisho 15000 tu
 
Mnarogwa sana ndio maana akili zenu huwa zipo hivyo
Ayaaa!! sasa wewe hapa unaharibu!! yaache yaje tuyaroge mpaka yapate kizunguzungu!! siku nikilipeyusha nalifukuza mazimaaa!!...Maisha ni mapambano kwa nini nisipambane??

Mleta Mada mwache ahangaike tu!! iko siku atanasa Mazimaaaa na huyo mkewe atamsahau Tatizo la ke ni kuchomeka tu na kuigusa papuchi Baba umekwishwa!!

kwanza anawaramba wana kijiji tu, siku hizi hakuna ke anaejielewa eti ana babaika na ndinga!!..... uongo shost!!
 
V8 uitoe wapi wewe pangu pakavu tia mchuzi,[emoji57]
Maskini kwa kujifaraghuaaaa [emoji119]

Endelea tu kubaka watoto, mwenzio kishapigwa miaka 30 huko, jela za kwetu unazijua nadhani ukakutane na kina scopion wakutoboe 'jicho'.
Lkn kweli bana!! anaisikia tu kwa mbunge wa jimbo lao ;; wenye v8 hawasemagi! nimekumbuka!
 
[

juzi nimetoka kulala na mwanamke fulani kisa kuona na kazi yangu, na mshahara anataka nimuoe.

Halafu fika anajua na mke na familia yangu, ndio nimegundua anataka anitegeshee nizae nae akasumbue familia.

Ila nimesema NO, namla kwa kondomu hadi vulva zipate usugu..
UKafurahiiii kula mbususu chafu chafu hizo za wana kijiji!!.........huna ubavu wa kubeba classic woman! ambao wana miliki Meli za mizigo!......weye ni dreva wa mbunge!
 
Na sie wadada wa mjini tuko vizuri, mwanaume ukishakua na kigari tu na unahonga vilaki..... tunafanya kweli.

#ndomaanavichaawenginiwanaume
True mnawapa first quality service plus limbwata juu
 
UKafurahiiii kula mbususu chafu chafu hizo za wana kijiji!!.........huna ubavu wa kubeba classic woman! ambao wana miliki Meli za mizigo!......weye ni dreva wa mbunge!
Nani alikudanganya wanawake wa vijijini wa mbususu chafu? Hii kauli yako umejivua nguo na upo uchi tayari, uwe unakaa kimya sometimes.
 

Mheshimu sana mke wako na kama umebahatika kupata watoto hao ndio ndugu wa kweli, hawa michepuko hawatakusaidia ukipata matatizo​


MKE: UNA MAHUSIANO NAYE YA KUDUMU (NA HUKU AKIJUA HIVYO, ANAKUA CHANZO CHA VISA)
MCHEPUKO: NI WA MUDA TU (HUYU ANAKUA SULUHISHO LA VISA VYA MKE. HUYU AKINZA VISA UNA HAMIA KWINGINE)

LA MIHIMU:

MKE UNAYEMPA HESHIMA ANAWEZA KUWA MCHEPUKO WA MWINGINE/WENGINE.
NA WATOTO UNAO ONA NI WA NDUGU ZAKO, NI WA MWENZIO/WENZIO.
 
Nani alikudanganya wanawake wa vijijini wa mbususu chafu? Hii kauli yako umejivua nguo na upo uchi tayari, uwe unakaa kimya sometimes.
Af weee! Mzee punguza Moshi!!!.......ke wa kijiji!! atafanya saa ngapi steaming?? Wkt hakuna umeme! infarastructure mbovu!! kwanza anaijua?? hawana mapozi kwanza wale!..hivi unajua wale hata kuvaa naniliu wanapoteza mda!

Hivi kwani ukijivua nguo kuna nini cha ajabu weye Babu zee krfi?? saaan utaona uliko toka na ukikaa vibaya unakuwa kipofu maisha yako yooote!! acha kuonea Mbususu za wana kijiji weye!! njooo huku ukamuliwe ulie ka ntoto ndogo!!
 
Af weee! Mzee punguza Moshi!!!.......ke wa kijiji!! atafanya saa ngapi steaming?? Wkt hakuna umeme! infarastructure mbovu!! kwanza anaijua?? hawana mapozi kwanza wale!..hivi unajua wale hata kuvaa naniliu wanapoteza mda!

Hivi kwani ukijivua nguo kuna nini cha ajabu weye Babu zee krfi?? saaan utaona uliko toka na ukikaa vibaya unakuwa kipofu maisha yako yooote!! acha kuonea Mbususu za wana kijiji weye!! njooo huku ukamuliwe ulie ka ntoto ndogo!!
Ila wapo wengi na nimewaona na wanajipenda, wanapendeza na ni warembo.

Uache kuwakandia mara moja, nao ni warembo pia! Bado unataka ujivue nguo?
 
Back
Top Bottom