Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mr mgeni

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2014
Posts
1,222
Reaction score
805
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
 
Mkuu, tafuta kwa kupunguzia stress.
Utakufa mapema Sana kwa kupenda kubeba stress za mtu mliyekutana ukubwani.

Na ukifa wanakuja na ndugu zake kutumbua mlichotafuta wote.
Ndio maana wazee wetu waliamua kuongeza wake.
 
Ongea na mshenga kama haelewi
Kwani mshenga ndio alimtongozea??
Mimi tutongozane na wewe, tukubaliane kuishi wote, unizingue nianze kumwambia mtu niliyemtuma tu kwa wazazi wako?
Isitoshe yawezekana hata wewe hakufahamu
 
Kama hatueshimu jua kuna mtu uku nje anamuheshimu
Neno la bwana litabaki palepale
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Kwani kabla hamjaona mlikuwa mnagegedana bao ngapi? Au wewe ndo wale kupewa tunda hadi uowe kwanza?
Nakushauri ingawa siyo lazima kama unataka kuwa na amani kuwa na kimchepuko
 
Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.



😀😀😀😀😀😀😀 kweli MUNGU anakupa wa kufanana naye!yaan ww ungenioa alafu uniambie hayo maneno! dah labda km unanitimizia mahitaji yangu yote!
hamjawajua tu wanawake...mwanamke km anakataa sex na mumewe mostly humridhishi! ndo maana anapewa ki1! aisee jipelelezeni mgeuke!
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Dah....kazi kuu ya mwanamke no kumfariji mwanaume....kazi kuu ya mwanaume ni kumlinda mwanamke....nje ya hapo ni majanga....[emoji41]
 
Haya matatizo ya kuyimwa yanaongezeka siku hadi siku.


mnakwaza! kwazwa kwajambo lolote lile sio sex aisee yaan ww unajijua huwez kujicontrol ukaenda walau 5 min alafu hapohapo unang"anga"a nia imke akukatie mauno(huoni ndoutakojoa mapema)kwann nayeye usimridhishe lakin! huyohuyo akitoka nje ni perfomance na kuperfom humohumo! mnalo walah
 
Back
Top Bottom