Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Sasa we unaona hilo ni jambo la kujivunia mtu wangu? I never understand kwanini wanawake wa sikuhizi mpo so arrogant? Umeolewa kwa furaha na mamilioni yalitumika kuudhihirishia ulimwengu kuwa mmependana haswa!
Kinachofanya baada ya mwaka au miwili ya ndoa kuona mumeo ni msumbufu akitaka Cooma ama tendo la kuwaunganisha kimwili na kiroho ni kitu gani halafu unakuta kuna mtu very irresponsible unamtanulia mapaja tani yake bila vikwazo?
Do you think thats a fair thing to do kwa mume wako! Mbona mnakosa utu kiasi hicho nyie watu? Mtu anaekulisha, akakuvisha na kukupeleka hospitali ukiumwa ndio hana maana ila unayekutana nae barabarani anakuwa wa maana kuliko! Halafu unaboast kabisa kwamba una HQ!?


pole kaka
 
Ukiona hvo jua ana chepuka. Ingia deep kusanya intel kama n gulity talaka akale life vzur kwa hawala wake
 
Mvumilie huenda ana mimba changa au unamfanya style moja kwakweli inachosha na kuboa kila siku kifo cha mende tuuu sometimes unamshtukiza tu afu cku nyingine usimuombe we muinamishe tu ata jikoni mpige cha fasta au akitoka kuoga bro kuwa mbunifu wanawake wanapenda rough sex bas tu hujamjulia mkeo.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mh!yaa nimekusoma mkuu
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Pole idiot
 
Back
Top Bottom