Ngomakipiki
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 329
- 199
Mpandishe cheo awe bi mkubwa kama uchumi unaruhusu,wanaume tunalufa mapema kwa sababu ya stress za kujitakia kama hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mawili. Either mke anakipato kijubwa kuliko yeye. Au mchiz amekosa msimamo.Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
Ni kawaida kuchoka Hawa watu. Ndio mana tukaruhusiwa kuongeza mke wapili watatu na wanne. Upo. Acha kulalamika usimchoshe huyo we ongeza mke.Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.
Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Aisugue kwa nguvu mpaka iwake motoNaww malizia hasira zako kwny upapa wake
Fanya hivyo inchi za wenzetu uone km hujapewa kesi ya kubaka..unacheza wewe.Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
Nahisi nitaongeza tatizo maana wife mwenyewe ni kiburi vilevileChukua ushauri huu...
Susa kuanzia chakula anachopika hadi nyapu yake kwa wiki mbili.
Ukirudi kutoka job kula huko huko, ongea naye vyema na Kama hela ya msosi acha Kama kawaida na majukumu mengine timiza.
Lakini msosi na mbunye susia...
Then lete mrejesho hapa.
Mwanamke hujiskia vibaya Sana apike usile!!
tatizo mkuu wanawake waliosoma sana ni majanga tu mda mwingineMwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
PoleSidhani kama itakua ni suluhisho
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.
Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Ukiona mkeo kiburi kwako ujue ana feelings kwa mtu mwingineNahisi nitaongeza tatizo maana wife mwenyewe ni kiburi vilevile