Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
Kuna mawili. Either mke anakipato kijubwa kuliko yeye. Au mchiz amekosa msimamo.
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
Ni kawaida kuchoka Hawa watu. Ndio mana tukaruhusiwa kuongeza mke wapili watatu na wanne. Upo. Acha kulalamika usimchoshe huyo we ongeza mke.
 
Hiyo avata yako natamani nije pm kamq hautajali
 
Chukua ushauri huu...
Susa kuanzia chakula anachopika hadi nyapu yake kwa wiki mbili.

Ukirudi kutoka job kula huko huko, ongea naye vyema na Kama hela ya msosi acha Kama kawaida na majukumu mengine timiza.
Lakini msosi na mbunye susia...

Then lete mrejesho hapa.

Mwanamke hujiskia vibaya Sana apike usile!!
 
Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
Fanya hivyo inchi za wenzetu uone km hujapewa kesi ya kubaka..unacheza wewe.
 
Chukua ushauri huu...
Susa kuanzia chakula anachopika hadi nyapu yake kwa wiki mbili.

Ukirudi kutoka job kula huko huko, ongea naye vyema na Kama hela ya msosi acha Kama kawaida na majukumu mengine timiza.
Lakini msosi na mbunye susia...

Then lete mrejesho hapa.

Mwanamke hujiskia vibaya Sana apike usile!!
Nahisi nitaongeza tatizo maana wife mwenyewe ni kiburi vilevile
 
Mwambie mkeo anapaswa kufahamu kwamba hana amri juu ya mwili wake, bali wewe kama Mume ndiye mwenye amri juu ya huo mwili. Wewe ni kichwa na kichwa siku zote ndiyo hutoa maamuzi ya nini mwili ufanye. Unapaswa kusimama kama Mume la sivyo huyo mkeo atakukalia kichwani.
tatizo mkuu wanawake waliosoma sana ni majanga tu mda mwingine
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.

kuwa na mchepuko.haoni umiumu wako kwa sasa
 
Back
Top Bottom