Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

Mke wangu akichoshwa na kazi hasira anazimalizia kwangu

😀😀😀😀😀😀😀 kweli MUNGU anakupa wa kufanana naye!yaan ww ungenioa alafu uniambie hayo maneno! dah labda km unanitimizia mahitaji yangu yote!
hamjawajua tu wanawake...mwanamke km anakataa sex na mumewe mostly humridhishi! ndo maana anapewa ki1! aisee jipelelezeni mgeuke!
Mke anagongwa nje huyo, hamna kingine hilo la kuchoka huwa linatumiwa kama hila tu! Tunawajua ninyi!
Hapo kuna mwenzake anamwagiwa uno mpaka miguu inalegea kwa kukojozwa! Akirudi home hana hamu na mumewe inshort wameshachokana na mke anapumzikia kwa hawala!
 
Mke anagongwa nje huyo, hamna kingine hilo la kuchoka huwa linatumiwa kama hila tu! Tunawajua ninyi!
Hapo kuna mwenzake anamwagiwa uno mpaka miguu inalegea kwa kukojozwa! Akirudi home hana hamu na mumewe inshort wameshachokana na mke anapumzikia kwa hawala!

hata sisi tunahis mkitomb.... wanawake wa nje mnarudi ndani mmenyodolokaaa! mnapmzikia kwa mahawala zenyu!na sisi mnatuacha na hamu
 
Samahani mkuu mkeo anakuwa amechoshwa Na kazi gani labda? nakushauri fany utafiti wa kazi za mkeo kwa siku hata awapo nje ya ofisi yake unayoijua, inawezekana akawa na ofisi nyingine ya kaz inayomchosha zaidi Na ndipo akikuona anachukia. Pili fuatilia ni siku gani ambazo huwa anakufanyia huo ujinga!
 
Samahani mkuu mkeo anakuwa amechoshwa Na kazi gani labda? nakushauri fany utafiti wa kazi za mkeo kwa siku hata awapo nje ya ofisi yake unayoijua, inawezekana akawa na ofisi nyingine ya kaz inayomchosha zaidi Na ndipo akikuona anachukia. Pili fuatilia ni siku gani ambazo huwa anakufanyia huo ujinga!

hahahhaahaa !aisee
 
😀😀😀😀😀😀😀 kweli MUNGU anakupa wa kufanana naye!yaan ww ungenioa alafu uniambie hayo maneno! dah labda km unanitimizia mahitaji yangu yote!
hamjawajua tu wanawake...mwanamke km anakataa sex na mumewe mostly humridhishi! ndo maana anapewa ki1! aisee jipelelezeni mgeuke!
Na hapo ndo mwanzo wa ujinga kama huridhishwi kwanini usiseme mmeo aongeze dozi. Mahusiano imara hayajengwi kwa tofari bali mazungumzo na kushirikishana.
 
hata sisi tunahis mkitomb.... wanawake wa nje mnarudi ndani mmenyodolokaaa! mnapmzikia kwa mahawala zenyu!na sisi mnatuacha na hamu
Sasa chanzo kama ni wewe kuleta usumbufu kutoa gemu tufanyeje? mfano mie sahivi nina matawi yangu kadhaa nimefungua yote kutokana na mwanamke kuleta usumbufu. Nimempandisha cheo kidizaini sahivi nakula nchi tu uraiani no headaches! Akinipa asiponipa sijali, huwa namuinjoy tu!
 
Sasa chanzo kama ni wewe kuleta usumbufu kutoa gemu tufanyeje? mfano mie sahivi nina matawi yangu kadhaa nimefungua yote kutokana na mwanamke kuleta usumbufu. Nimempandisha cheo kidizaini sahivi nakula nchi tu uraiani no headaches! Akinipa asiponipa sijali, huwa namuinjoy tu!


Haaahahahahh!watanijibia wengne hapa... maana kuna jamaa kaja piyemu eti anahis mm ndo mkewe kwa majibu yang ya hvi ya kukereketa🙂🙂!yaan ww wkt umefungua branches wako tayyari ana HQ (headquater)la ngv😎!
 
Hata aibu haoni anakua mkali Balaa nikiomba chakula cha usiku ananiambia kachoka nisimsumbue na siku nikipewa ni kimoja tu ndo naruhusiwa kupiga hataki zaidi ya hapo.

Tatizo ni kwamba ananipa wakati mgumu na kumsaliti sitaki.Nimejaribu kuongea nae Kwa uzuri lakini hanielewi sikutaka kuwapa faida watu wa nje kuwaeleza matatizo yangu ya ndani.Naimani humu naweza kupata ushauri mzuri.
wakwangu Madam B akishinda bila kazi yoyote siku hiyo basi kitandani ni fujo sana antaka usiku kucha tukeshe tu nikiwa na mpagawisha hata hana uruma kuwa kesho natakiwa kazini hamna sijui nifanyeje hapa.
 
wakwangu Madam B akishinda bila kazi yoyote siku hiyo basi kitandani ni fujo sana antaka usiku kucha tukeshe tu nikiwa na mpagawisha hata hana uruma kuwa kesho natakiwa kazini hamna sijui nifanyeje hapa.


sasa shem hapa unaharibu sana sana!unajua ni wanawake wangapi wamemis magame yakukesha usk mzima!😉😉😉😉! acheni promo jaman🙂🙂🙂🙂!umeniharibia funga yangu😡😡😡😡
 
Haaahahahahh!watanijibia wengne hapa... maana kuna jamaa kaja piyemu eti anahis mm ndo mkewe kwa majibu yang ya hvi ya kukereketa🙂🙂!yaan ww wkt umefungua branches wako tayyari ana HQ (headquater)la ngv😎!
Sasa we unaona hilo ni jambo la kujivunia mtu wangu? I never understand kwanini wanawake wa sikuhizi mpo so arrogant? Umeolewa kwa furaha na mamilioni yalitumika kuudhihirishia ulimwengu kuwa mmependana haswa!
Kinachofanya baada ya mwaka au miwili ya ndoa kuona mumeo ni msumbufu akitaka Cooma ama tendo la kuwaunganisha kimwili na kiroho ni kitu gani halafu unakuta kuna mtu very irresponsible unamtanulia mapaja tani yake bila vikwazo?
Do you think thats a fair thing to do kwa mume wako! Mbona mnakosa utu kiasi hicho nyie watu? Mtu anaekulisha, akakuvisha na kukupeleka hospitali ukiumwa ndio hana maana ila unayekutana nae barabarani anakuwa wa maana kuliko! Halafu unaboast kabisa kwamba una HQ!?
 
Mvumilie huenda ana mimba changa au unamfanya style moja kwakweli inachosha na kuboa kila siku kifo cha mende tuuu sometimes unamshtukiza tu afu cku nyingine usimuombe we muinamishe tu ata jikoni mpige cha fasta au akitoka kuoga bro kuwa mbunifu wanawake wanapenda rough sex bas tu hujamjulia mkeo.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom