Dah, haturudii tena wapenzi wetu mtusamehe tuwe kama mwanzoUnaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.
Hapo kwel....nakumbuka enz hzo kuna shemej yenu wa zaman aligundua nmecheat.akanambia...kukuacha sikuach ilaa chamoto utakiona...nakwel..chamoto nilikiona had ilibid tuachane tu walah.Unaweza jisumbua na simu yake kumbe walaa. Hivi ujue yale maudhi yenu madogo madogo na makubwa kama ya kucheat huwa mnafikiri tunasamehe eeh? Sasa hayo ndio huwa matokeo yake, unakuta mtu ulimpenda ila ndio akakuletea upuuzi upendo ukaanza kupungua mwisho unaishi nae basi tu ilimradi ulee watoto.
Kuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.Dah, haturudii tena wapenzi wetu mtusamehe tuwe kama mwanzo
Duh hii ni hatari aisee,,,jamaa kashampoteza mkewe
Alafu we faller utakuwa mzinzi sana we[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii tam kwa madem wenye dramaz! Na saingine kanajinunisha ili ukapige mwiko tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.Hapo kwel....nakumbuka enz hzo kuna shemej yenu wa zaman aligundua nmecheat.akanambia...kukuacha sikuach ilaa chamoto utakiona...nakwel..chamoto nilikiona had ilibid tuachane tu walah.
Dah hili swala ni zito sana aisee ntajitahidi nisimsaliti wife ila endapo hatonletea upuuzi wa kuninyima tunda kimasihara au usumbufu wa kijingaKuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.
Huyu anaweza kuuaKuna mama hajawahi kumsaliti mumewe na ameapa hatomsaliti ila hana upendo na mumewe kabisaaa. Anadai hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku mwanaume alompenda vibaya sana itafikia hatua amuone kama mdudu, yes kama "mdudu". Anasema mumewe amemtesa sana na mambo ya michepuko hivyo moyo wake umekufa ganzi hata asafiri mwaka hata hammiss na uwepo wake nyumbani huwa ni kero kwake. Yupo tu kwaajili ya kulea wtoto basi.
🤩🤩🤩🤩🤩🤩 natest mitambo tu mze babaAlafu we faller utakuwa mzinzi sana we[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanamke mtundu hakika huwa mtamu sana
Sasa hapo si anajikomoa mwenyewe?Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
Eeh kwa level aliofikia ni swala la muda tuHuyu anaweza kuua
Muache...Umewahi kumsaliti?
Kwakweli hata mimi niko kwenye hali hiyo na mume wangu, tokea anisaliti to be honest sijisikii kumpenda wala kumfurahia tena. Na sijui tu natokaje kwenye hali hii.
Mpenzi akifikia hatua hiyo ni kuachana tuEeh kwa level aliofikia ni swala la muda tu
Usaliti unaondoa mapenzi aisee.Dah hili swala ni zito sana aisee ntajitahidi nisimsaliti wife ila endapo hatonletea upuuzi wa kuninyima tunda kimasihara au usumbufu wa kijinga
Kimsingi kwa hili nikiri tu kweli inaumiza sana hisia za mwenza naona inachangia sana kuharibu feelings za mrembo!Utashangaa hakupikii tena, hafui nguo zako wala unyumba hakupi au ndio ile anakupa ilimradi. Maana haufurahii uwepo wako. Mnaanza oooh wanawake mkishaolewa mnabadilika kumbe wewe ndio umembadilisha.
Inakuwa point of no return kama ni mke ndio dah! Inakuwa balaaMpenzi akifikia hatua hiyo ni kuachana tu
Yaani!!Huyu anaweza kuua